Baada ya mavuno ni matumizi, naombeni msaada nina bajeti ya sh 250,000, naweza kupata godoro gani imara na la kudumu 5*6 inchi 8 ambalo haliweki shimo ukilalia na mtoto maana sitaki aibu, si mnajua vijana kutwa Mara tatu kama panado.
Asanteni, angalizo mimi nataka ushauri kununua naenda kununua mwenyewe madukani.
Asanteni, angalizo mimi nataka ushauri kununua naenda kununua mwenyewe madukani.