[QU OTE=ChelseaBlue;8745808]ingekuwa ni kuondoa simu iliyo katika blacklist (lost or stolen) kwenye carrier fulani ingewezekana, au bad esn, carrier locked ungeweza kupata solution. ila Apple ID lazima ipitie na kuruhusiwa kwenye Apple servers. utapata access kama wewe ni mmiliki halisi wa hiyo...
Yaani hapa mbagala Chamazi hapafai Kwa radi. Tanesco washafanya Yao muda sana tu. Mvua ni kubwa pamoja na upepo mkali. Kesho sijui Kama hatukusikia mafuriko au radi kuchukua mtu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata Kama kakubali kuiuza nchi ili apewe urais mwakani bado itakuwa tabu Kwa Kuwa SheriA anazoptisha ndio atakazozitumia kuongoza nchi hii
Sent from my iPhone using JamiiForums
Lakini huoni Kama ni kuonyesha kutoaminiana Kwa kiwango kikubwa tens unaonyesha mbele za watu. Kuna usemi Kuwa ukiona mtu hakuamini ujue na yeye si mwaminifu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo si kupokea simu za mumewe wakati mwingine anamwuliza maswali mengine huyo mpigaji Hali hajui man uhusiano gani. Wakati mwingine ni mtu anayekuletea dili sasa akiulizwa first time Mara nyingine atakuletea dili kweli.
Mwisho wa siku mnawafanya Wanaume kuonekana Kama wanatawaliwa ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.