Jamani zile radi za Jana na mvua nikajua dunia imeisha c nikaanza kutubu, maana tulijua tunakufa aiseeh dah usiku wa jna ulikuwa wa heka heka
kunguni nini?.Huku boko upepo sio mkali ila kuna vidudu vinang'ata balaa.. vimenikurupusha usingizini, sijui vinapitaje kwenye neti. ..hapa imebidi tuamke tutoke chumbani tunasubiri harufu ya dawa ya mbu iishe!!!
Daah pole. Unalala peke yako?
Nipo Gongo la mboto Tanesco walishachukua hatua mapema lakini naona wametuhurumia wamerudisha mzigo, ila hiyo miale na mingurumo inatisha hatari, mvua imekatika ni mingurumo tu sasa..........ila pamoja na mingurumo na radi sijatishika nimevuna maji ya kutosha wife kajikunyata ndani.
Unakaa peke yako Mamiii, pole sana usiogope.
radi na ngono hazipatanagi oooho.Mkuranga mvua kubwa sana na ngurumo za hatari...na Tanesco kama kawaida yao wako bize na yao...giza la kukimbia...hatari hzo ngurumo za radi noma...acha nifanye yangu na mama J hapa.
Duuh! hili la sasa hivi ndio kubwa Wallaah!
hebu drive uje ulale huku kwengu!hakuna mvua hata tone!Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.