Usife moyo jamaa yangu mm mwemnyewe nilifanya za utumish tano nkakosa but ya sita nikabutuaaa, xo mungu anajua wap kukupangia keep on prayer
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Jamaa jembe kama viongoz wote wangekuwa na uelewa kama wa Mh Othman bac nchi hii ingekuwa mbal kimaendeleo.
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Hutachoka kutwanga kama mpepetaji anajua kupepeta vilivyoooo.
Unaweza ukakesha ukitwanga. Maunooo balaaaaaa
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Jaman mleta mada anataka kujua ukwel coz kuna ki2 kimejificha katika muungano huu.
Xo nashangaa wa2 mnajibu kipropaganda zaid.
Plz let us hit da poit
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Jaman wameshaita wa2 kwenye interview(oral) itakuwa ni tar 20.
Majina yalitoka gazet la mwananchi last week
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Zitto katuacha njia panda, the guyz iz so smart katika kujibu maswal ya waandish wa habari.
Big up Zitto
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Wee sheikh mungu akulaan, na siku moja utakuja kuwa mas-uliyya juu ya usalit wako.
Mwogopen sana m2 ambaye njaa ikihama kutoka tumboni ikakimbilia kwenye ubongo.
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.