huyu ni sheikh pekee ambaye namuheshimu nchini kwetu lakini ajiangalie ile heshima na trust tuliyompa anaibetray yeye mwenyewe. hivi vipande therasini vya fedha huwa avimuachi mtu salama ataumbuka.
huyu ni sheikh pekee ambaye namuheshimu nchini kwetu lakini ajiangalie ile heshima na trust tuliyompa anaibetray yeye mwenyewe. hivi vipande therasini vya fedha huwa avimuachi mtu salama ataumbuka.
Huyu anajipendekeza kwasababu anasema msiyoyapenda?? mbona hamsemi shekh Mtopea??Ni sheikh anaejipendekeza kila siku ili awe Mufti wa Tanzania wakati tayari anakofia ya usalama
wewe ni kibaraka wa mfumo kristo huna hata chembe ya uislamu.
Huyu shekh dhambi inamtafuna ya kusujudia ma bwana zake kuliko Mungu mmoja
Njaa ni mbaya sana!
Sio rahisi.Bakwata ni zaidi ya NGO hii inalindwa na ccm na police .
Ukiigusa ni sawa umevamia chimwanga au lumumba.
Watatumia nguvu zote hata jeshi ikibidi.
Walisha jaribu miaka ya nyuma wakapigea na kukamatwa.
Na mahakamani pia wako hovyo.
Kina ponda ndio wako ndani kwa kosa la kuisema bakwata
Wakati wa uchaguzi serikali inasimamia.
Hili dubwana ni baya sana .
Lakini ipo siku litaondoka.
Ok! ili Bakwta iwe huru basi ni lazima hii serikali inayoilinda iangushwe kwanza. Waislam ndugu zangu, km kweli mnaichukia bakwata shirikianeni kuiondoa hii serikali dhalimu madarakani na bakwata itakuwa imesambaratika rasmi. hay ndugu zangu kazi kwenu!
Sheikh ubwabwa huyu....
Haina wingi wala umoja!!!!!
By the way you are just a mere remote transmitter hufanyi kazi bila vidole!!!!!
Wewe Tedo ndo una kauli za kichochezi kama Lkv, Kwa akili yako we ulitaka Waislamu wote wamwuunge mkono Sheikh wa Dar kwa maneno yake na kinyume cha hivyo wanaosema ukweli we unawabana na kauli yako eti waislamu wameparaganyika - is it fair? Kwa maana nyingine ili waonyeshe mshikamano lazima wamuunge mkono Sheikh!
Tafadhali muwe mnatafakari kabla ya kupost kwenye mada sensitive kama hizi. Big up Ritz kwenye uzi huu ingawa mara nyingi huwa tunatofautiana.