Kapteni Komba, umetumwa na nani?

Kapteni Komba, umetumwa na nani?

huyu bwana naona amelewa sifa kupitiliza.sikuamini masikio yangu kusikia akimtuakana.warioba. eti warioba ni hovyo hovyo anataka kuvuruga amani ya nchi,
kwanza komba ajue warioba nimtu mashuuri nchini asijilinganishe nae. warioba sio wakufuata mawazo ya chama hatakama hayana tija kwa taifa yeye ni mzalendo,kwanza haku pewa vyeo kama komba kupewa ukapten,kwa kuimba taarabu katika vita ya kagera. aende akaimbe mipasho kule tot na khadija kopa, kulendio maalipake, asitafute kuzawadiwa uwaziri,
Unene ukizidi Mafuta yanaingia kwenye Ubongo uwezo wa kufikiri unashuka kwa kasi ! Akili ya Komba sasa imejaa Mafuta upeo wake umekuwa Duni sasa anaishi kwa mazoea na Kukariri ,hana jipya mda mwingi huutumia akimwaza Lulu Kanumba
 
Unene ukizidi Mafuta yanaingia kwenye Ubongo uwezo wa kufikiri unashuka kwa kasi ! Akili ya Komba sasa imejaa Mafuta upeo wake umekuwa Duni sasa anaishi kwa mazoea na Kukariri ,hana jipya mda mwingi huutumia akimwaza Lulu Kanumba

Mkuu umenielimisha, nilikua sijui hii kitu hii.
 
Komba ni mbunge kilaza number one ,hajatumwa na Mtu isipikuwa anajipendekeza tu,anajua mwakani hatakuwa Mbunge tena,sasa anatengeneza mazingira ya kupata Ubunge wa Kuteuliwa,Komba aache Ujinga kwani anadhani kule msituni hakuna wanyama ?Nyoka,Fisi,nk wapo Msituni wanamsubili akija KUNYA tu Wanamdaka .
 
huyu bwana naona amelewa sifa kupitiliza.sikuamini masikio yangu kusikia akimtuakana.warioba. eti warioba ni hovyo hovyo anataka kuvuruga amani ya nchi,
kwanza komba ajue warioba nimtu mashuuri nchini asijilinganishe nae. warioba sio wakufuata mawazo ya chama hatakama hayana tija kwa taifa yeye ni mzalendo,kwanza haku pewa vyeo kama komba kupewa ukapten,kwa kuimba taarabu katika vita ya kagera. aende akaimbe mipasho kule tot na khadija kopa, kulendio maalipake, asitafute kuzawadiwa uwaziri,

Komba akili yote imehamia tumboni. Lile ni bonge la jitu jinga! Hilo, Chaijuisi na Savimbi ni janga la taifa
 
huyu bwana naona amelewa sifa kupitiliza.sikuamini masikio yangu kusikia akimtuakana.warioba. eti warioba ni hovyo hovyo anataka kuvuruga amani ya nchi,
kwanza komba ajue warioba nimtu mashuuri nchini asijilinganishe nae. warioba sio wakufuata mawazo ya chama hatakama hayana tija kwa taifa yeye ni mzalendo,kwanza haku pewa vyeo kama komba kupewa ukapten,kwa kuimba taarabu katika vita ya kagera. aende akaimbe mipasho kule tot na khadija kopa, kulendio maalipake, asitafute kuzawadiwa uwaziri,

Taarabu na kwaya azilipi siku hizi .amekosa pakupatia sifa .ndio maana anatoa single ya Mzee Warioba .Komba kubwa jinga hili .
 
Hiv jaman mnapoteza mda wen kumjadili mwimbaji wa taarabu!!!
Hana jipya huyooo

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Kuna kina mwajuma mkaa na kina mwiguke mbwiga wapo ndani wanatusua. Wacha bwana matusi yanalipa sana hasa kwa hiki CHAMA

Ni kweli wangu.Ngoja tuone mwisho wake.
 
Ule mwili unanyonya akili,baada ya muda atakuwa chizi we subiri tu
 
Wakati mwingine iwe inatosha tu kwa sisi kuacha kuwajadili watu ambao wanajulikana kuwa ni punguani! Komba huyo unaejihangaisha kumuanzishia thread hapa ni zuzu kuliko mfano, kwenye pyschology watu wa aina yake huwekwa category ya imbeciles!
Well said, very well said mkuu,Yaan kwel kbs kuna watu mle bungen tunapoteza sn mda wetu kuwadiscus umu ndan,Tatizo la Bunge letu nalo limeingiliwa sn siku iz yaan kuna wasoooomiiii na vilaaaza kbs afu wote wamechanganywa pamoja lzm Cheche zitokee.Ndo Kama Iv sasa.
 
Back
Top Bottom