Naonaga kama kero vile kama anaweza na akinipigilizia vya ku pump kama mimi(me) itakua poa-apande juu ya mlima (woman on top)
Love is an art,can be learned!!!!!!!!Nategemea niwe na michepuko mitatu mmoja mmakonde,wa pili mzaramo na watatu mzigua na mnyamwezi hao ndio wanawake WAKATA mauno,wengine wote waliobaki magogo tu.
Nategemea niwe na michepuko mitatu mmoja mmakonde,wa pili mzaramo na watatu mzigua na mnyamwezi hao ndio wanawake WAKATA mauno,wengine wote waliobaki magogo tu.
Kuna mashine mpaka zinanyogolota we unasemea wriggling!!!!!!!!Mkuu wewe ndo umeongea uhalisia! Ni vigumu sana ukate kiuno huko juu mie nikisikie huku kwenye mashavu yako. Ila hii ya yeye naye ku-pump hata nikae style gani, iwe woman on-top, dog style, missionary etc nafeel kihalali...hizo nyingine ni mbwebwe tu!
Jamani wazima nyie hii mada nimeona sehemu mbalimbali ikizungumzwa ila kwa sahv tunaomba wanaume mtupe ya uvunguni yenu hivi unajisikiaje au unafeel vp mkeo/demu wako akikata kiuno kwenye sita kwa sita au wewe binafsi nini mapendekezo yako katika hilo.. Maana tumeshuhudia mahusiano mengi yakivunjika kisa mwanamke hajui kukata kiuno... Pls wanaume tunaombafunguke maana hili limekuwa kama janga la mahusiano mengi!!!
Daaanh mada hizi saa hizi?????!!!
Awe mtaalamu anajua kufuata kicks na ana tune rhythm as you keep pounding smoothly!!!!!!!
Mkuno wa nazi mara bakuli saidia Bwana ashinde,vibration flani hivi,hivi mnajua kizibo ya wine kutoka rahisi ila ukitaka kuirudishia inakuwa ngumu!!!!!!!!
Aaaanh hebu nlale zangu mie!!!!!!
natamani nione comment ya shemeji yenu lol.
mmh hizi mada zingine!
Love is an art,can be learned!!!!!!!!
Ntaitoa kesho. saiz njoo tulale.
kuna mtu kaiba pasiwedi, si bure.