Mimi pia nimeitwa kwenye aptitude test,naomba msaada kujua kunakua na maswali ya aina gani. Kuna yanayohusiana na position ya uliyoomba?
Aptitude ndio nn??
Mimi pia nimeitwa kwenye aptitude test,naomba msaada kujua kunakua na maswali ya aina gani. Kuna yanayohusiana na position ya uliyoomba?
Habari wapendwa
Yeyote aaliyewahi kufanya hizi aptitude test za BOT naomba anipe idea. Maswali yakoje ya kiprofession zaidi au ni general knowledge
Najua hii post ni ya 2014 ila mm nimeitwa 2017 katika post ya business analyst, vipi aptitude test zao zinakuaje?jamani kuna aloitwa kwa post ya business analyst?
Mkuu, ulifanikiwa?Ni zile post za mwaka jana, wameniambia aptitude itafanyika next week tarehe 15 Alhamis. Kwa wale wadau kaeni tayari tayari maana kama umeambiwa uende na calculator ujue hapo ngoma itakua nzito.
Aptitude ni pepa la hesabu.Najua hii post ni ya 2014 ila mm nimeitwa 2017 katika post ya business analyst, vipi aptitude test zao zinakuaje?