Recent content by Kasuku26

  1. Kasuku26

    Samsung Note 2 inagoma touch ila S-Pen inakubali

    Wakuu habari, Hii simu ni wiki sasa inasumbua touch lakini ukitumia S-Pen inatouch vizuri kabisa. Mwenye kuelewa anisaidie kama ni ishu za software ama hardware maana nmeshindwa kuelewa. Nawasilisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Kasuku26

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Mim sasahv maisha ndo yananipiga hpa na hili ndo wazo lakijinga ninalofanya.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Kasuku26

    Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Mbona hujatoa uchambuz wa namba 22
  4. Kasuku26

    Kuweni makini na vipimo feki vya sukari ni hatari sana

    Full blood picture haitoi Majibu ya sukari..
  5. Kasuku26

    Baada ya Vita ya 1978 – 1979 kwanini Tanzania ya sasa tusiichokoze tena nchi yoyote Jirani ili tuwapime Askari wetu na Silaha zetu?

    Kweny post yko unaongea kama Mtanzania, ajab kweny comments unaongea kam Mnyarwanda.. Sasa kama we mnyarwanda kwann huu ushauri wko usiupeleke kwenu Rwanda hko..!? #Mkiwa kwenu mnajiita watanzania.
  6. Kasuku26

    Fuata link hii upate salio buree (Mpak Elf5)

    Wat wanakula buk tano tano t Mzee.. hay mengine badaye
  7. Kasuku26

    Fuata link hii upate salio buree (Mpak Elf5)

    Me walinipa 1500, cjui wanaangalia vgezo gan mkuu
  8. Kasuku26

    Fuata link hii upate salio buree (Mpak Elf5)

    Baada yakujisajir utaingiza namb yko hpo
  9. Kasuku26

    Fuata link hii upate salio buree (Mpak Elf5)

    Fuata hii link, itakupeleka kweny app ambay utaidownload, utajiregister kwa namb yko, kujipatia salio la bure kabixa https://jamiiforums.com/46ZySQ23QX
  10. Kasuku26

    Aisee! Facebook kuna vituko

    Mungu kaamua kuingilia kati[emoji3][emoji23]
  11. Kasuku26

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Mkuu cjawah kusumbuliwa na matatzo ya macho..
  12. Kasuku26

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Tangu nakua mpak leo huwa nikikaa naona vitu kama nyuznyuz znazong'aa lakn sion zilipoanzia wala znapoishia zmenizunguka tena sometimes zinachukua eneo kubwa.. Japo cwez kuamua kuziona, hutokea nikikaa nikajisahau. Hii inamaana gan?
Back
Top Bottom