Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Ila kuchagua maisha usiyoyaweza kisha kuja kulalamika mitandaoni nayo ni aina flani ya wazimu.Unakosea kusema anaishi maisha ya watu , hayo ndio maisha alochagua regardless anayaaford au la
Kuchagua na kuafford nadhani ni vitu viwili tofauti