Baada ya Vita ya 1978 – 1979 kwanini Tanzania ya sasa tusiichokoze tena nchi yoyote Jirani ili tuwapime Askari wetu na Silaha zetu?

The way you've presented your facts shows how actually ' Moronic ' you're.
From the beginning of what you have posted it shows how miserable you are.
With your stupid thread how can you call yourself a really matured man???!!!
You are so unhinged.
It shows how you grow physiclly and retard psychologically.
Man physically but boy in mindset.
 
From the beginning of what you have posted it shows how miserable you are.
With your stupid thread how can you call yourself a really matured man???!!!
You are so unhinged.
It shows how you grow physiclly and retard psychologically.
Man physically but boy in mindset.

Can you first improve your English please?
 
Can you first improve your English please?
Can you just shut the flck?!
Nothing you know it seems you are not even linguistics expert stay silent please am tired of arguing with stubborn pathetic people like you.
 
Mwanasaikolojia mmoja aliwahi kuniambia kuwa ukiona umekaa muda mrefu bila Kupigana na Mtu yoyote Yule ( achilia mbali tu Kugombana nae ) na unafurahia kuwa na Utulivu basi jua hapo bado utakuwa na matatizo ya Akili kwani Binadamu aliyekamilika na ili Akili zake muda wote ziwe zina chaji anatakiwa awe Mchokozi na awe anapigana mara kwa mara ili kuweza Kujua Uwezo wake na Kujiimarisha zaidi ili asijisahau.

Sasa kwa mfano huu huu nakumbuka mara ya mwisho Tanzania yetu hii ‘ Kuzichapa ‘ ilikuwa ni kati ya miaka 1978 hadi 1979 tena na Nduli Idi Amini wa Uganda na nadhani sasa imepita takribani miaka kama 40 au 41 hivi hatujapigana na Nchi nyingine yoyote ile. Hii hali Mimi An Eagle inaniuma sana na naona ni kama vile ‘ tumebweteka ‘ hivyo natamani ‘ tuichokoze ‘ nchi yoyote ili tuzichape nao.

Kwa kufanya hivi naamini tutakuwa tumewasaidia pia Wapiganaji wetu ( Wanajeshi ) hasa kuweza Kujua Uwezo wao na aina ya Silaha zao kama zinafaa / unafaa na kama tukiona tumewashinda basi tuanze sasa Kujivunia. Na Kuanzia sasa uwe ni Utaratibu rasmi kuwa kila mara baaada ya muda fulani ‘ tunaichokoza ‘ nchi yoyote tu hapa Jirani ili tujiimarishe kuliko kukaa tu miaka mingi halafu hatupigani na tunabaki tu Kupishana Vijiweni na Maaskari wetu, wengine Vitambi vinawaota na baadhi tukiwa tunapishana nao tu katika Vibanda vya Gongo huku wengine tukikesha nao Baa.

Na kwa msiojua tu au kwa wale wenye Akili za ‘ Kipa Katoka / Kipumbavu ‘ ambao mtanishangaa An Eagle leo kuja na huu Uzi ni kwamba hata Uimara wan chi kama za Israel na Marekani unaongezeka mara kwa mara Kijeshi ( Kivita ) na Kiusalama pia kwakuwa nao wana huu ‘ Mkakati ‘ wa ‘ Kuchokoza ‘ Taifa fulani ili ‘ wapigane ‘ nao kisha hapo hapo waweze Kujua Uwezo wao ( hasa kwa Wanajeshi wake ) lakini pia na Uimara wa Silaha ambazo wanazitengeneza au hata zile wanazozinunua kutoka Mataifa mengine.

Kwa Kuanzia naomba tuichokoze ama Burundi au Kenya kisha tukiwamudu hawa basi huko mbeleni tunaweza ‘ tukaichokoza ‘ Rwanda ambayo sishauri ‘ tuichokoze ‘ kwa sasa ili Tanzania yetu yote isije ikazamishwa bure Bahari ya Hindi au hata ikawa ni Mali halisi ya Jamhuri ya Watu wa Rwanda kwani hakuna asiyejua kuwa kwa hapa Afrika Mashariki Rwanda ndiyo Israel yetu na Uganda ndiyo Marekani yetu hasa Kivita ( Kimedani ) na Kiujasusi pia.

Karibuni katika Mjadala.
Wwe siyo mtanzania halisi bali ni Mrwanda uliyejipenyeza Tz!!!
 
Askari jeshi ndiyo kazi yao,watatulinda kuliko wanavyoua baadhi ya raia nakujipatia sifa ambazo nyingine ni zauongo,waende wakapigane na majamaa wengine.
Ki2c tatizo la vita mara nyingi huchukuliwa raia wanyonge kama chambo mfano mdogo ni Mgambo!!
 
Kumbe wapo wengi wenye mawazo kama yangu...

Kweli wafukunyuku hatuishi ulimwengu huu..!!
Mwanasaikolojia mmoja aliwahi kuniambia kuwa ukiona umekaa muda mrefu bila Kupigana na Mtu yoyote Yule ( achilia mbali tu Kugombana nae ) na unafurahia kuwa na Utulivu basi jua hapo bado utakuwa na matatizo ya Akili kwani Binadamu aliyekamilika na ili Akili zake muda wote ziwe zina chaji anatakiwa awe Mchokozi na awe anapigana mara kwa mara ili kuweza Kujua Uwezo wake na Kujiimarisha zaidi ili asijisahau.

Sasa kwa mfano huu huu nakumbuka mara ya mwisho Tanzania yetu hii ‘ Kuzichapa ‘ ilikuwa ni kati ya miaka 1978 hadi 1979 tena na Nduli Idi Amini wa Uganda na nadhani sasa imepita takribani miaka kama 40 au 41 hivi hatujapigana na Nchi nyingine yoyote ile. Hii hali Mimi An Eagle inaniuma sana na naona ni kama vile ‘ tumebweteka ‘ hivyo natamani ‘ tuichokoze ‘ nchi yoyote ili tuzichape nao.

Kwa kufanya hivi naamini tutakuwa tumewasaidia pia Wapiganaji wetu ( Wanajeshi ) hasa kuweza Kujua Uwezo wao na aina ya Silaha zao kama zinafaa / unafaa na kama tukiona tumewashinda basi tuanze sasa Kujivunia. Na Kuanzia sasa uwe ni Utaratibu rasmi kuwa kila mara baaada ya muda fulani ‘ tunaichokoza ‘ nchi yoyote tu hapa Jirani ili tujiimarishe kuliko kukaa tu miaka mingi halafu hatupigani na tunabaki tu Kupishana Vijiweni na Maaskari wetu, wengine Vitambi vinawaota na baadhi tukiwa tunapishana nao tu katika Vibanda vya Gongo huku wengine tukikesha nao Baa.

Na kwa msiojua tu au kwa wale wenye Akili za ‘ Kipa Katoka / Kipumbavu ‘ ambao mtanishangaa An Eagle leo kuja na huu Uzi ni kwamba hata Uimara wan chi kama za Israel na Marekani unaongezeka mara kwa mara Kijeshi ( Kivita ) na Kiusalama pia kwakuwa nao wana huu ‘ Mkakati ‘ wa ‘ Kuchokoza ‘ Taifa fulani ili ‘ wapigane ‘ nao kisha hapo hapo waweze Kujua Uwezo wao ( hasa kwa Wanajeshi wake ) lakini pia na Uimara wa Silaha ambazo wanazitengeneza au hata zile wanazozinunua kutoka Mataifa mengine.

Kwa Kuanzia naomba tuichokoze ama Burundi au Kenya kisha tukiwamudu hawa basi huko mbeleni tunaweza ‘ tukaichokoza ‘ Rwanda ambayo sishauri ‘ tuichokoze ‘ kwa sasa ili Tanzania yetu yote isije ikazamishwa bure Bahari ya Hindi au hata ikawa ni Mali halisi ya Jamhuri ya Watu wa Rwanda kwani hakuna asiyejua kuwa kwa hapa Afrika Mashariki Rwanda ndiyo Israel yetu na Uganda ndiyo Marekani yetu hasa Kivita ( Kimedani ) na Kiujasusi pia.

Karibuni katika Mjadala.
 
Huyu jamaa fala sana. Tena ametokea maeneo ya Rwanda na Uganda huko. Tanzania inauwezo wa kupigana na nchi hizo mbili kwa pamoja. Mimi sio mwanajeshi au usalama ila nakuambia haakuna wa kuigusa Tanzania kutokana na information nilizonazo. Na sishauri kuanzisha vita na nchi yoyote Africa.
 
Jitolee uichokoze Marekani vyovyote unavyoweza ili waanzishe vita.
 
Kuhusu Rwanda mkuu umedanganya.
Rwanda haina jeshi imara kutuzidi.
Kenya ndiye wa kulinganisha nasi.
Rwanda amezidiwa had na Uganda ht vifaa vyake duni na vichache tukizichapa tunaiteketeza ile landlocked country ndan ya siku moja.
Tz ni wa kuchokozana na Kenya,Ethiopia,Somalia.
Mkuu Somalia si ndio kuna alshababu anaesumbuana na marekani? And
 
Wewe ni mTanzania? Kama ndiyo, toka hapa, mguu mosi mguu pili uende kambi ya jeshi ya nchi yoyote ambayo unatamani tupigane nayo. Ukifika huko kanyanga bustani zao au mpige kofi aliyepo getini, Kabla hajakaa sawa nenda mbele ukikutana na mwingine mpe Tanganyika Jeki. Hivyo hivyo hadi aina ya vita unayoitaka utaipata tu na nchi yetu utaiwakilisha vyema!

Tukiacha masihara acha nitoe pendekezo: Wanaadamu, kwa lahaja ya mtaani ningesema, tuna kuvimba sana - ego!! Huu uzi unaweza kuwa ulianzishwa kwa masihara ili kuvuta likes na replies lakini wahusika wakauchukulia tofauti na ukaleta kizaa zaa.

Sina maana ya kumpangia mtu kipi aandike na kipi asiandike ila ningeshauri we be careful what we publish. Some things are very sensitive no matter how inept they sound and could inflict hatred and anger, and we all know how worse the consequences out of war can be.! Vita ni ya kuisikia na kusoma tu. Usiombe!! Kuna wanawake kubakwa, watu kuuliwa na unashuhudia. Kutanga tanga na upo ndani ya nchi yako - Kuna mateso ya kila namba mengine ni aibu hata kuyafikiria tu!
 
Kuhusu Rwanda mkuu umedanganya.
Rwanda haina jeshi imara kutuzidi.
Kenya ndiye wa kulinganisha nasi.
Rwanda amezidiwa had na Uganda ht vifaa vyake duni na vichache tukizichapa tunaiteketeza ile landlocked country ndan ya siku moja.
Tz ni wa kuchokozana na Kenya,Ethiopia,Somalia.
He's confusing technological advancement and Military capability!! Hao Rwanda watapigwa mapema na viwanda vyao hivyo.
 
Tukiingia Vitani itasusaidia kujua uwezo wa Askari wetu na hata Uimara wa Vifaa vyetu kama labda ni Feki au vyenyewe.
Ninachojua kuwa vita haina macho. Hivyo kuwa na nyenzo pekee haitoshi, mwenzako akikuwahi kukuziba pua utapumulia speaker tako ndio tayali amekumaliza.
 
Wewe ni mTanzania? Kama ndiyo, toka hapa, mguu mosi mguu pili uende kambi ya jeshi ya nchi yoyote ambayo unatamani tupigane nayo. Ukifika huko kanyanga bustani zao au mpige kofi aliyepo getini, Kabla hajakaa sawa nenda mbele ukikutana na mwingine mpe Tanganyika Jeki. Hivyo hivyo hadi aina ya vita unayoitaka utaipata tu na nchi yetu utaiwakilisha vyema!

Tukiacha masihara acha nitoe pendekezo: Wanaadamu, kwa lahaja ya mtaani ningesema, tuna kuvimba sana - ego!! Huu uzi unaweza kuwa ulianzishwa kwa masihara ili kuvuta likes na replies lakini wahusika wakauchukulia tofauti na ukaleta kizaa zaa.

Sina maana ya kumpangia mtu kipi aandike na kipi asiandike ila ningeshauri we be careful what we publish. Some things are very sensitive no matter how inept they sound and could inflict hatred and anger, and we all know how worse the consequences out of war can be.! Vita ni ya kuisikia na kusoma tu. Usiombe!! Kuna wanawake kubakwa, watu kuuliwa na unashuhudia. Kutanga tanga na upo ndani ya nchi yako - Kuna mateso ya kila namba mengine ni aibu hata kuyafikiria tu!
Ulipo anza umenichekesha sana. Udumu
 
Kweny post yko unaongea kama Mtanzania, ajab kweny comments unaongea kam Mnyarwanda..

Sasa kama we mnyarwanda kwann huu ushauri wko usiupeleke kwenu Rwanda hko..!?

#Mkiwa kwenu mnajiita watanzania.
 
Back
Top Bottom