habarini za kazi wakuu?
mimi ni kijana umri wangu miaka 26, nilikua nafanya kazi katika moja ya mahoteli makubwa hapa mjini na kwa sasa kiukweli hali ya uchumu imeyumba kiasi kwamba biashara haiendi vizuri hivyo nalazimika kutafuta kazi ya ziada ili niweze kukidhi mahitaji yangu ya kila siku...
Huyo kaenda kutafunwa, kuna mjanja kamtumia hela ya bajaji na anasubiri kwa hamu ajishindie bao za kutosha na kuufanya usiku uwe mfupi!...... Kama namuona shem anavyolalama baada ya fyagio la chuma kupita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.