yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
- Thread starter
- #21
hatari. mtu unaeza ukaamua kujiAfu eti kesho nizame munyuni kwake.
hatari. mtu unaeza ukaamua kujiAfu eti kesho nizame munyuni kwake.
thanx. but what should be the way forward.. stay in this relationship or just quit?? advise plz
kweli. pesa ndo kila kituAchana nae, tafuta pesa.
kwa mtazamo wangi nhisi ningempatia pesa simu isingezima chaji. na si kawaida kunambia simu inazima chaji na wakati alishinda nayokwanini umuwazie vibaya
kwahiyo unafikiri kama simu ipo hdewani ndo hawezi kugongwakwa mtazamo wangi nhisi ningempatia pesa simu isingezima chaji. na si kawaida kunambia simu inazima chaji na wakati alishinda nayo
her mobile went off charge what will u do? remember always there is tommorrow, stop creatin sme mental disoder jus relax abit do ya ting huyo kuku wakothanx. but what should be the way forward.. stay in this relationship or just quit?? advise plz
Hii hela ya MB ungempa usingekuwa unataka kupasuka hapaNi jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.
Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula.
Mwanaume nlikuwa na buku mbili tu mfukoni, nikamwambia baby sina kitu vumilia tu nkipata ntakutumia kama navyokutumiaga. Akasema haya poa ngoja nilale njaa.
Mara ikaingia text eti simu yangu inazima chaji mpenzi (kwao hakuna umeme). Kuisoma ile nikachanganyikiwa, nikahisi ndo sijui kaenda kutafuta pesa kwa njia zipi... hadi dakika hii napiga simu mrembo hapatikani... moyo unataka kupasuka, usingizi hauji