Pole na majukumu wakuu!
Naomba msaidie/kunipa ushauri kuhusu hili
Mwaka 2011 mama yangu mzazi (ana miaka 50) alipata tatizo la kutokwa na damu mfululizo kwa muda wa miezi 6.Ilikuwa hivyo kwa sababu alificha tatizo.Lakini baada ya kutambua hilo,alienda hospitali na kupatiwa dawa,ambazo...
Nashukuru sana ndg yangu kwa maelezo yako ambayo yamenipa mwanga.Nitajitahidi sana kuzingatia yote hasa kwenda Hospitali.Nashukuru sana na Mungu akubariki.
Poleni na majukumu ya kila siku wadau.
Naomba mnisaide wadau.Mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja na nusu.Lakini tatizo kubwa ni kwamba anaumwa sana kiuno na tumbo na damu kidogo kidogo hutoka.Hali hii inatuchanganya sana,na kwa kuwa niko mbali sana na sehemu za huduma,hivyo kabla sijaanza safari...
Kuusema ukweli kunahitaji nafasi?Wakati mwingine tunatakiwa kujitambua na kutoa hoja ambazo zinajenga.Na kama huna la kuchangia ni vema ukapotezea.Kimtokacho mtu ndicho kimjaacho.Inawezekana unaa element za kike ndio maana unasema ni wivu wa kike.Kitu cha msingi ni kwamba niliyoyasema ni ya...
Habari wa JF.
Katika kikao cha bunge kilichopita,suala la posho lilileta msuguano sana hasa kwa vyama vya CHADEMA (isipokuwa Shibuda) na CCM.Katika hilo,Mhe.Zitto Kabwe alikataa kuchukua posho ya vikao suala ambalo lilipelekea msuguano na Spika wa Bunge Bi.Anne Makinda.Baada ya hapo ikawa ni...
Wakati wa Mdororo wa Uchumi ulioikumba Marekani na nchi za Magharibi kati ya mwaka 1929-1933,kuna shujaa aliibuka.Franklin Delano Roosevelt ambaye wakati huo alikuwa anagombea urais wa Marekani alikuja na mikakati kabambe ya kuinua uchumi,mikakati hiyo inajulikana kama "NEW DEAL",mipango hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.