kasitile
Member
- Feb 22, 2011
- 32
- 0
Uhalisia ni kuwa CDM wamekosa cha kupigia debe mara baada ya serikali kuutoa Msuada wa Kuunda Tume ya Marekebisho ya Katiba bungeni. CDM wamepigwa bao peupe
Acha ushakunaku!mliiza swali anataka majibu ya uhakika kutoka viongozi wa CHADEMA.Mbona unashoboka,kwani lazima ucoment kila kitu?