kasitile
Member
- Feb 22, 2011
- 32
- 0
Poleni na majukumu ya kila siku wadau.
Naomba mnisaide wadau.Mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja na nusu.Lakini tatizo kubwa ni kwamba anaumwa sana kiuno na tumbo na damu kidogo kidogo hutoka.Hali hii inatuchanganya sana,na kwa kuwa niko mbali sana na sehemu za huduma,hivyo kabla sijaanza safari ya kwenda mjini,naomba kama kuna mtu anajua chochote kuhusu hilo anisaidie.Natanguliza shukrani.
Naomba mnisaide wadau.Mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja na nusu.Lakini tatizo kubwa ni kwamba anaumwa sana kiuno na tumbo na damu kidogo kidogo hutoka.Hali hii inatuchanganya sana,na kwa kuwa niko mbali sana na sehemu za huduma,hivyo kabla sijaanza safari ya kwenda mjini,naomba kama kuna mtu anajua chochote kuhusu hilo anisaidie.Natanguliza shukrani.