Recent content by kasinge

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchunguzi: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake

    Mbwa kabisa hawa. Watakuwa walitumwa wakamchafue wakashindwa. Mbona wamesubiri amekufa. Na si ajabu ndo yamemuua ili yakaharibu kanisa lake. Mbona wasifanye documentary ya watu waliopona au kusaidiwa wanatafuta mabaya? BBC ni chombo cha Watu wakubwa wanaosambaza one world government na ni...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha olive

    realpatriot, Kaka vipi ulifikia wapi? Uliendelea na hii tafiti? Mimi niko interested.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Maaskofu watatu KKKT(Malasusa, Mbedule na Massangwa) watengwa

    Kilabu cha siasa kikoje? Waraka waliandaa wote wengine wakaenda kinyume, Shoo ni kiongozi unataka afanyeje? Nay anaongozwa na katiba, au unadhani ni serikali yenu hii ambayo imeweka katiba pembeni?
  4. K

    JamiiForums Tanzania CAG Assad: Bunge halifanyi kazi yake! Wanatakiwa kuuliza matumizi nje ya bajeti yaliidhinishwa kwa mamlaka ipi

    Nchi hii ina sheria baba, pyu pyu mbona za kufa mtu. Hayo mandege hizo hela zilipita Bungeni? Kuna Mbunge wa CCM kahoji?
  5. K

    JamiiForums Tanzania CAG Assad: Bunge halifanyi kazi yake! Wanatakiwa kuuliza matumizi nje ya bajeti yaliidhinishwa kwa mamlaka ipi

    That is very true. We need someone who can even stand on truth in odd times like these. We can trust him but not in CCM.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kama Tanzania kuna sheria ya customer deception Penalty

    Najaribu kutafuta inbox nimeshindwa. Wapi naweza kukupa issue yangu private, uone kama ina mashiko.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kama Tanzania kuna sheria ya customer deception Penalty

    Naomba kujua kama Tanzania kuna sheria ya customer deception hasa katika mitandao. Na je penalty zake zikoje. Je naweza kupata document yoyote nikasoma kupata ujuzi? Naomba msaada maana kuna mtu ameni-deceive.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanatarajia nini baada ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri?

    Ma V8 mapya kwa ajili ya viongozi. Ni kula kwa kwenda mbele.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mbowe anapoitangazia Dunia kuwa Tanzania si mahali Salama ana maana gani?

    Tanzania si mahali salama kisiasa Ila kwa mambo mengine mswano. Kwa siasa mjipange aisee watawararua.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Mshahara wa dreva wa mbunge nani anatoa.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Ki usalama ni nzito mno labda kama uko bias
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ripoti mbili za kamati teule za bunge leo zimetoa funzo moja kubwa kwa Watanzania, kwamba CCM haipaswi kuwa madarakani

    Hii serikali ni tofauti na zingine. Tutasikia Mengi.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kumkashifu kiongozi wa nchi yako ukiwa umejificha ugenini

    Ila bomoa bomoa zinatisha.
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

    Democracy in developing countries ends at the voting paper.
Back
Top Bottom