Recent content by kasiasa

  1. K

    Na ucheleweshwaji wa matokeo heslb.......click here

    heslb wanazingua bax c wangechuna 2 ka walikuwa wanajua kwmb bdo hawajaweka ..habari gan hizi wana2alert afu hamna ki2..mi i thnk they r nat siriaz mkurugenzi unatangaza tena bila uwoga afu mambo bdo..nchi ishakuwa ya kike ka vp let us make movment 4 change.
  2. K

    wanafunzi watano wa chuo........!

    walijipanga kudanganya lakin hawakujipanga kujib maswali ka ayo waliyoulizwa...
  3. K

    Ebu Jifanye mzani alafu soma hapa!!!!!

    duuuuuuuu! Mzee hafiki kwenye kipengele cha mwsho cku mingi kashazima..
  4. K

    mi pia..

    nahoja nzto zisizo na shaka, am here kw ajil ya kushare na ma great thnker,
  5. K

    kama unabisha hayaaaa!

    mtaani kwe2 kuna mgahawa hatari xana.. Wanauza maandazi ya kuchemsha,juice ya kabichi.. Afu nje kuna bonge la ujumbe..SHKAMOO KELELE ,HESHIMA PESA
  6. K

    TCU SELECTIONS OUT "once and for all"

    ndio wameki2pia haya wale wa arusha university ba.bsness adm & human rsc managmt 2tambuane..
  7. K

    Papa na tajiri!!

    nimeipenda hyooo..
  8. K

    Ulimbukeni wa akina Hasheem Thabit

    nini!? supastaa!. Unamjua jack chan,jet lee wale nao wasemaje..mbna wao wanaongea lugha yao ijapokuwa wanafanya kazi huko marekani..huo ni unyonge tunaojiwekea wa africa..mi nina ndgu yangu ameishi huko miaka 12 bila kurudrudi tz ila sasa hivi amerudi na anakichapa kisw kama kawa tena mpaka...
  9. K

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Wale mawaziri waliotakiwa kujiuzulu yasemekana wameamua kujiuzulu so as wasimuweke waziri mkuu pabaya.taarifa rasmi itatolewa na waziri mkuu baada saa saba mchana..,zakia maige,lazaro nyarandu,chami,haji mponda,ngeleja,omari nuno.mukulo.
  10. K

    Hepi besidei LULU

    Kwa hyo katimiza miaka mingapi maana mpenzi wa kanumba naye!mara 17 mara 18..
Back
Top Bottom