True seeker
Member
- Sep 28, 2011
- 34
- 29
wasi wasi ndio akili hi ndio bongo land ni vitu ambavyo havina husiano kati ya kutangazwa kwa matokeo lakini hadi wakati huu hakuna kipya kwenye site yao. Nilishasema wizara husika inaitaji maandamano tukishinikiza wajiuzaru bila hivyo hakuna kitu kitachoendelea. siku zote ucheleweshwaji wa matokeo huja na utata kama mnakumbuka matokeo ya form six mwaka huu, Tusubirieni na heslb tuyaone wale wa priorit 0% Non priorit 100%.MI NASEMA MAISHA YANAKWENDA NA MIDA.Baada ya saa sita kamili mchana kama bado hawajayaweka kwenye website yao tuje na mawazo mengine wanajamvi na sio tuwe wavumilivu huo uvumilivu kwenye web site yao hajaweka sisi ndio tunasema.....Hasanteni