Jibu alilitoa madiba mwenyewe akiwa anapokea tuzo ya Nehru nchini india.ya kuwa nyerere ni zaidi ya kiongozi.na nimakosa kumlinganisha nyerere na mm.bira nyerere leo mie nisingekuwa madiba huyu mnaempa tuzo hii leo .mm ni zao la nyerere.
Umechambua vzr,lkn umejikwaa na ukaanguka na kupoteza kbs thamani ya andiko lako.ndani ya kichwa na fikra zako kumejaa chuki na kisasi.Daud arbert bashite pamoja na machafu yake yoote lkn hili hawezi kuhusika nalo hata kidogo.ila nafkr kuna maafisa usalama waliofukuzwa kz km kina chahari hawa...
Sisemi kuwa ina madhara yoyote.ila nataka nijue huyoo meyiii meyiii ni nani ktk umimwengu huuu?,!! Na ana mamlaka yapi ktk ulimwengu huu mpk jina lake litumike kufungua mlango wa jicho la tatu?!!
Kila kitu kimegota na kusimama kwenye hiyo meyiiiiii meyiiiii.kw hiyo hata km utafuata hayo maelekezo mengine lkn ukakosea kwenye hiyo meyiiiii meyiiiii.hutafanya lolote.hivyo meyiii meyiiii ndio kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.