Nimekosa tu nyazifa kubwa serikalini huyu mwl alierekod ningemtunuku cheyo kikubwa kwani hawa walimu hawana maadili kabisa. Mimi pia mwl lakin nimegazabika sana na sitak hata kurudia kuitazama hiyo video.
PONGEZI KWA MAMULAKA HUSKA KWA HATUA WANAZOZICHUA ILA NATAMAN KUONA HAO WATU WAKIWA...
wewe umeoa jana yamkini hata nyumba huna unataka kwenda A. Kusini, tena kuwatembelea tu jamaa na marafki, ushaur wangu acha kushadadia maisha fanya vitu vya maana kwanza starehe badae. Yangu hayo tu.
mtoa hoja umenena ukwel tupu, hakka watanzania wengi wamelogwa kipind cha ufsad kila mtu aliitukana serkal oh rais hafai madawa hakuna, mahakama zmejaa rushwa, kila kona kumenuka rais amekosa maamuz yy na safar tu, haya tumempata ambae amejbu hoja zote za wananch, sasa imekua tofaut tena cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.