Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,462
Elimu ni zaidi ya kukaa darasani, elimu ni zaidi ya kuwa Dr,elimu ni zaidi ya kuwa Prof, elimu ni utashi na uzalendo,
Kama una elimu na huna uzalendo, mkandamizaji basi hujaelimika,
Wanatumia maguvu kukandamiza watu wasitoe hisia zao, huku upande wa pili wanatumia TAFITI zao fake kutaka kudanganya wajinga, Elimu, elimu, elimu,
Kama una elimu na huna uzalendo, mkandamizaji basi hujaelimika,
Wanatumia maguvu kukandamiza watu wasitoe hisia zao, huku upande wa pili wanatumia TAFITI zao fake kutaka kudanganya wajinga, Elimu, elimu, elimu,