Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
Nilisikiaga S.Africa now days no need if passport. Au Magu kaicancel ?ahaaaaa passport za kusafiria mnazo? hili ndo LA muhimu kwanza
Nilisikiaga S.Africa now days no need if passport. Au Magu kaicancel ?ahaaaaa passport za kusafiria mnazo? hili ndo LA muhimu kwanza
Kama una jibu MPE acha kuwa ivyooumesema una ndugu na jamaa wengi sana...Ina maana waote watakudhihaki?
Kwanza Tafuta Passport ,Ingia fastjet kata tiketi panda ndege. Huitaji viza kwenda South AfricaHeshima kwenu wakubwa zangu wa jukwaa hili na marahaba kwa wale wote niliowatangulia kuliona jua.
Mimi na mke wangu tumefunga ndoa takatifu wiki moja iliyopita, hivyo tukapanga tukatembee nchini Afrika Kusini.
Maana tangu kuzaliwa kwetu hatujawahi fika katika nchi hiyo na sio siri wote tunahamu ya kwenda kutoa ushamba.
Ifahamike kwamba sio mimi wala mke wangu aliyewahi kupanda ndege tangu kuzaliwa kwetu. Nahitaji kuelekezwa taratibu za ukataji tiketi, kupata passport ya kusafiria na namna ya kuingia airport kupanda chombo kuelekea South Afrika. Ili tusionekane washamba wa mambo ya kidigital.
Nb: Afrika Kusini nina ndugu, jamaa na marafiki wengi wanaishi huko, hivyo sehemu yakufikia sio shida.
Nawasilisha kwenu.
Mkuu ndio nilitaka kumwambia hivyo.Nenda ofisi za uhamiaji mahali ulipo Jaza fomu na uambatanishe yote yanayohitajika ili mpate passport,baada ya hapo nenda ofisi za ndege utakayopenda kusafiri nayo ili upate tiketi zenu. Mambo mengine utayajua tu ukiwa safarini
hahahhahahaNenda Msoga, Kuna Mwalimu mzuri tu pale
hahahhahaha