Recent content by Kashapona_jr

  1. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Bro to bro: Hili suala la kuombaomba michango ya harusi ni kujidhalilisha sana

    Binafsi huwa nashangaa sana hii kitu, kwa nini mtu usifanye sherehe inayolingana na urefu wa mfuko wako Mimi nadhani mambo ya kuchangia kwenye jamii yawe yale ya dharura tu: msiba, matibabu na ajali nyingine Ila kwa jambo ambalo mtu anapanga kabisa kuwa mwakani naoa, apambane na hali yake ✍️
  2. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mbona ni kama hawa wachezaji wanataka Rosemary aondoke!!. Yaani huoni hurry, juhudi na kujituma kwa mchezaji mmoja mmoja. No team linkup, kila mmoja anajichezea ilimradi muda uishe No passion at all.
  3. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kuna wachezaji sijui wamefikaje EPL.
  4. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Yaani ndo ujue kuna watu wanaishi dunia yao mkuu
  5. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Hahaa watu wanaishi interior sio poa mkuu 🤣
  6. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Hahah ndo ujue kuna watu wanaishi dunia yao ndugu yangu [emoji38][emoji38]
  7. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Kilolo Iringa huko kuna kijiji kinaitwa Kisakulo...ni balaa yani. Nauli tu ya boda kutoka Kidabaga unaambiwa 35,000
  8. Kashapona_jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa zamani wa Ricado Kaka afunguka sababu za kumsaliti mume wake, adai utakatifu wa Kaka kwake ulimboa

    Ukiona huwaelewi hawa viumbe, basi jua ndo umeshawaelewa maana hawaeleweki yan. Yaani hakuna jema kwao...
  9. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Hahaa mwanzo sikumkubali kabisa ila mbeleni dah...dogo ana mipango ya kimkakati sana [emoji28] Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
  10. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Yaani hadi nyumbu wanaonekana kama Barca ya akina Xavi Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
  11. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Gallagher kwa tuliowahi kukusema vibaya au kutotambua mchango wako tunaomba utusamehe. Game ya leo pengo lako dhahiri linaonekana Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
  12. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    There is good and evil in everything and in everyone. We are all, all of us, devils and angels.
  13. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Good things happen to people who wait. Ivar the boneless
  14. Kashapona_jr

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ishakuwa Process FC. Kila leo kutiwa moyo tu yan [emoji706][emoji706][emoji706]
Back
Top Bottom