Recent content by Kasara Magafu

  1. Kasara Magafu

    Natafuta mwenyeji kwenye baadhi ya mikoa nitakayotembelea wakati huu ninapoanza likizo

    karibu Mwanza mimi mwenyeji wako nipo nitakutembeza sehemu zote za jiji kama upo tyal npm
  2. Kasara Magafu

    Aibu!: TBC wanaita Ziwa Nyasa kuwa ni Ziwa Malawi!

    ziwa ni la nchi ya nyasaland huo ndiyo ukweli
  3. Kasara Magafu

    Dar, Kigamboni: Khamis Luongo amuua mke wake Naomi Orest Marijani na kumchoma moto. Majivu akafanya mbolea ya Mgomba

    Ukichimama chaleee.... Ukichuchumaaa chaleee....? Huyu jamaa namfahamu wa kwetu kijijini Chitohole wilaya ya Tandahimba Tukio lingetokea MUSOMA ungesikia manenooo!
  4. Kasara Magafu

    Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

    Taifa Stars wanadhalilisha twiga wetu walio ubavuni mwao kweli nimeamini timu yangu ya taifa ni kichwa cha mwendawazimu kila anayejifunza kunyoa basi kichwa kipo cha tanzania
  5. Kasara Magafu

    Ningekuwa mtunga sheria NIDA na BRELA ningezifuta ndani ya nusu saa zisiwepo duniani, zife na kuzikwa

    Mkuu kama mimi nipo mbwinde mpaka sasa ni miezi saba sijapata kitambulisho cha uraia hao NIDA wanazingua tuu
  6. Kasara Magafu

    Wapangaji kuuziwa unit moja ya umeme 500 tsh na mwenye nyumba hii ni sawa??

    yawezekana mkuu... maana wapiga madili hawapoi kwa hasa hasa hao wasukuma
  7. Kasara Magafu

    Wapangaji kuuziwa unit moja ya umeme 500 tsh na mwenye nyumba hii ni sawa??

    Mkuuuu... kweli yule jamaa anayeitwa MPEMBA wakati ni MMAKONDE WA CHIWALE MASASI MTWALA anapiga sana pesa pale Mkuu pale BUZA KWA MAMA nakushauri uhame tu
  8. Kasara Magafu

    Wapangaji kuuziwa unit moja ya umeme 500 tsh na mwenye nyumba hii ni sawa??

    Mkuu pale buza kwa mama lile eneo ni la Kanisa la Anglikana yule Kishimba kajenga hizo appartment pale kwa mkataba
  9. Kasara Magafu

    IGP Sirro inasemekana kuna taarifa za serial killings eneo la Tandika na Yombo!!!

    Mkuu sasa hapo nimekuelewa...... Temeke kwa hayo matukio hakupoi
  10. Kasara Magafu

    IGP Sirro inasemekana kuna taarifa za serial killings eneo la Tandika na Yombo!!!

    Mkuu mbona mimi nipo Yombo Kilakala sijasikia hizo taarifa za mauaji au ni yombo hipi hiyo
  11. Kasara Magafu

    Huwajui waluguru ndio maana

    Mkuu huko kolelo nimekaa na huo uchawi upo kweli yaani mzee baba usiombe kufika kolelo
  12. Kasara Magafu

    Huwajui waluguru ndio maana

    nimekaa sana mafisa mzambarauni pale morogoro tulikuwa tunaenda huko kolelo na mkuyuni kwa waluguru kweli ni wafupi, wabishi na wanaamini sana mambo ya kishirikina
  13. Kasara Magafu

    Kuibiwa kwenye Daladala

    Hamna mzee baba nilijiamini zaidi kumbe musoma hile siyo hii ya sasa
  14. Kasara Magafu

    Mtaje JF member ambaye ni rafiki yako huko mtaani

    Salute kwako mzee wa YOMBO TEMEKE
Back
Top Bottom