Recent content by karue

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kuuliza ndiyo kujifunza nisaidieni hili swali mliokwisha fika nchi za wazungu

    Swali langu ni fupi tu,je nchi za wenzetu uko majuu yaani uko kwa wazungu kuna makabila kama ilivyo nchi za afrika? Mfano Tanzania,wajita,wagogo ,wasukuma,wajaga ,wanyakyusa,nk * ukitaja nchi unitajie na makabila yake ili nasi tusiojua tujifunze Shukrani.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Wahenga
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Ya kale yanafurahisha mno
  4. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Ahsate sana umeongeza kitu kikubwa
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Utaki kuoa?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

    Hakika ya kale ni dhahabu ,ni mengi tuliyafanya enzi zetu lakini kutokana na sayansi na teknolojia mambo yamebadilika kabisa. Haya ni machache kati ya mengi tuliyofanya enzi zetu. 1: kijiji kizima kulikuwa na duka moja la ushirika siku bidhaa ikiletwa wananchi wanajipanga mstari kupokea japo...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Samsung earphones tuned by akg bei poa sana

    Kote uko kupo vizuri,
  8. K

    JamiiForums Tanzania Samsung earphones tuned by akg bei poa sana

    Wadau sumsang yangu haitaki kunipa option ya kuchagua line ninapotaka kutuma sms mwanzoni ilikuwa vizuri Nifanyeje?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wajue Mosad wa Israel na operation zao

    Aya mashambulizi ya Iran 🇮🇷 yana maana gani katika siasa ya dunia?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli wowote katika hili ?

    Kaongea point kabisa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Fanya biashara hizi kama una mtaji kiduchu

    🤣🤣🤣🤣🤣
  12. K

    JamiiForums Tanzania Njoo nikuuzie viazi mviringo kwa Bei poa

    Bila kupoteza muda Nina mashamba ya viazi mviringo vilivyotosha kuvunwa. Napatikana mafinga Iringa *Bei kipeto 1 Cha debe 5 ni ni sawa50000 *Debe 1@ 10000 *Usafiri ni juu yako Nawasilisha wasap no 0614220423 ukipiga kawaida uwezi nipata
  13. K

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki ni Fursa ya Kuimarisha Uchumi Wako

    Nikiwa ndiyo mara ya kwanza sijawahi kufuga kabisa na Wala Sina ABC kuhusu ufugaji na ninahitaji kufuga samaki kwa njia ya bwawa unanishauri nitege kiasi Gani Cha fedha kuanzia mwanzo Hadi unanikabidhi bwawa lenye samaki?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa shule ya sekondari binafsi nchini, wana wasiwasi kuhusu mabadiliko ya mfumo wa elimu, hasa kutokana na kufutwa kwa darasa saba mwaka 2027

    Kwa uelewa wangu nafikiri nia ya serikali ni kumpa ELIMU Bora mwanafunzi wa kitanzania ili aweze kuwa na upeo Mpana kwa kitu atakachochagua kukisoma ili kiwe ni msaada tosha kwa maisha yake bila kusubili asome ili asubili apewe ajira,darasa la saba kutokuwepo binafsi naona ni sawa tu kwani...
Back
Top Bottom