shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,210
- 10,620
Wanafanya kusudi tu,ili kuonesha utofauti WA gari mayai na chuma ya Kazi!Hivi hakuna uwezekano wa kuondoa
Wanafanya kusudi tu,ili kuonesha utofauti WA gari mayai na chuma ya Kazi!Hivi hakuna uwezekano wa kuondoa
Gari now kama mkokoteni tu enzi hizo ukipanda RAV4 we wa maana na ukiwa nayo boss mkubwa mpaka waimbaji wa taaarabu wali iimbaKitambo mnaongelea magari
Ahsate sana umeongeza kitu kikubwaRadio moja kijijini ilikuwa ni kama redio ya kijiji , na kila mtu alikusanyika jioni kuisikiliza kwa makini, hasa kipindi cha Tangazo la Taifa au Redio Tanzania Dar es Salaam.
Kuumwa ilikuwa changamoto, dawa nyingi zilikuwa mitishamba, na kulikuwa na wazee waliobobea kwenye tiba za jadi.
Sherehe za jando na unyago ziliheshimiwa, vijana waliandaliwa kuwa watu wazima kwa mila na desturi zilizofundisha maadili na heshima.
Barua zilikuwa zinaandikwa kwa mkono, na kuletwa kwa miguu au baiskeli na watu waliokuwa kama "posta wa kijiji".
Ukarimu ulikuwa sehemu ya maisha, mgeni hakulala njaa, alikaribishwa bila kuulizwa jina lake wala alipotoka
Ila zipo vzr mm mpaka leo sijajua gari ipi naipenda 😂😂Wanafanya kusudi tu,ili kuonesha utofauti WA gari mayai na chuma ya Kazi!
Basi zamani nilikua najua wenye magari wote Ni watu wenye hela!!🤗🤗🤗🤗Kitambo mnaongelea magari
Magari ni ujinga tu shibela😅Basi zamani nilikua najua wenye magari wote Ni watu wenye hela!!🤗🤗🤗🤗
Pamoja mkuu, tuendelee kukumbushana.Ahsate sana umeongeza kitu kikubwa
Mwachi Haujajua au kipato kinakuamulia uchukue IST new model🤓🤓🤓🤓Ila zipo vzr mm mpaka leo sijajua gari ipi naipenda 😂😂
Hardtop mpaka leo.Hadi baadhi ya cruiser
Hahaaha mimi gari hata mama yangu akisikia naongelea atazimia kabisa🤣🤣Gari now kama mkokoteni tu enzi hizo ukipanda RAV4 we wa maana na ukiwa nayo boss mkubwa mpaka waimbaji wa taaarabu wali iimba
Kwakweli ni nikapato ila mazda x5 ipo kwa moyo 😂Mwachi Haujajua au kipato kinakuamulia uchukue IST new model🤓🤓🤓🤓
Acha basi kwa mshutko sio 😂Hahaaha mimi gari hata mama yangu akisikia naongelea atazimia kabisa🤣🤣
Nakubaliana na Wewe,Hakuna la maana Ila Yana umuhimu Kwa baadhi ya momentsMagari ni ujinga tu shibela😅
Huwa nawashangaa sana ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣Acha basi kwa mshutko sio 😂
Ila ni nzuri kwa usafirNakubaliana na Wewe,Hakuna la maana Ila Yana umuhimu Kwa baadhi ya moments
Kwanini?Huwa nawashangaa sana ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi hakuna gari inaweza nishtua zaidi ya miguu yanguNakubaliana na Wewe,Hakuna la maana Ila Yana umuhimu Kwa baadhi ya moments
Mna standards ndogo sana🤣🤣Kwanini?