Recent content by karoti

  1. K

    Msaada: Naweza hamisha mkopo toka Baypot kuja CRDB?

    Barclays mwanzo riba ilikuwa 21 a silimia now wamepunguza naskia ni 15
  2. K

    KERO: Hospitali ya TMJ

    Karibuni bima ya afya muhimbili
  3. K

    Naomba kukumbushwa

    Jamani wadau naomben mnikumbushe kuna mtu alituelekeza kuhusu vitu vya kula ukiwa n.a. hangovers. .naomba anikumbushe tafadhar. ..msaada tafadhar
  4. K

    Ipi Bima bora ya Afya kati ya NSSF na NHIF?

    Nhif iko v izuri mana WaPo hosptal nyingi sana .vipimo vinavyolipiwa na nhif ni vingi sana..vifaa watoavyo mfano magongo m iwani nk..vpmo Mri. .ctscan..nk na dawa watoazo ni nyingi pia maduka yanayopokea nhif ni mengi tofauti na nssf...na hutakiw kuwa nazo zote mbili unatakiwa uwe na Moja tu..
  5. K

    NEMC vipi kesi ya Jumba la mama Rwakatare? Wanyonge wamebomolewa!

    Magar mengi tu ya shule hayajapakwa rangi Sio yy tu..usipotoshe watu..kuna atlas school.fountain joy..kings ..Mont. .nk shule nyingi sana..
  6. K

    Msaada: Basi luxury la Dar - Tabora

    Heeee barabara kuanzia singida vumbi??singida ipi hiyo??kama hujui usipoteze wenzio loooh..no lami ww acha uongo
  7. K

    Ni kweli watoto wa Dr. Magufuli wanasoma shule za kata?

    Watu wengine wanakurupuka kujibu...hawaelewi swali lina mana gani..wanajibu loooh..
  8. K

    Hivi vioja vya ofisi za Serikali vitaisha lini?

    Hivi mda wote ukiona wageni au wateja kazi zao wanazoleta zitashughulikiwa sa ngapi??jiongeze
  9. K

    Pwani - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Fela wa mkubwa n.a. wanae nae kashinda kwa kishindo sana
  10. K

    Mishahara ya watumishi wa umma kulipwa kabla ya uchaguzi

    Ni kawaida hiyo haiingiliani n.a. uchaguz
  11. K

    Je! Huyu msichana ananipenda kweli? Au yuko kimaslahi

    Mmmh ww hivi huwez kujiuliza ingekuwa ww
  12. K

    Msaada tafadhali

    Pole....ila hapo sidhan kama kuna mapenzi ya dhati...kwahiyo ungemnunulia smu angeendelea kukudanganyadanganya badae ungeshindwa kingine angeanza nyodo
  13. K

    Naomba Mawazo Yenu

    Inategemea na kipato chako zawad ni nyingi sana..
  14. K

    Nitajuaje kama mke wangu amenisaliti

    Yaan unikute na kaz ..uniachishe kwa wivu wako loo siachi
Back
Top Bottom