Nhif iko v izuri mana WaPo hosptal nyingi sana .vipimo vinavyolipiwa na nhif ni vingi sana..vifaa watoavyo mfano magongo m iwani nk..vpmo Mri. .ctscan..nk na dawa watoazo ni nyingi pia maduka yanayopokea nhif ni mengi tofauti na nssf...na hutakiw kuwa nazo zote mbili unatakiwa uwe na Moja tu..
Pole....ila hapo sidhan kama kuna mapenzi ya dhati...kwahiyo ungemnunulia smu angeendelea kukudanganyadanganya badae ungeshindwa kingine angeanza nyodo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.