KERO: Hospitali ya TMJ

Sultan Kipingo

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
238
178
Watanzania wenzangu naomba nielezee kero yangu juu ya utaratibu mbovu na kutojali wagonjwa ktka hospitali hiyo. Watu wa mapokezi katk jengo la bima hawana customer care kabisa.

Hawasikilizi wagonjwa, ukiuliza kitu unajibiwa kwa ukali tena kwa dharau. Hawapangi wagonjwa wakaeweka kulingana na shida zao mathalan watu wanaoenda kumuona daktari wasichanganyike na wanaoenda kwenye vipimo.

Unaweza kuwahi mapema ukachelewa kuondoka mwingine ambaye mna vipimo sawa akawah kuondoka kutokana na utaratibu mbovu.

Ni vema wahusika walifuatilie hili, CUSTOMER CARE KATIKA JENGO LA BIMA TMJ HAKUNA.
 
Bima ya afya haithaminiwi. Kuwaona na specialist kwenye hospital ya Tumaini unapewa number 10 na kuendelea. Kipaumbele ni watu wa cash! Sijui kwa TMJ lipo vipi.
 
agha khan mwanza ni kichefuchefu zaidi bora huko ukienda saa tano unatoka saa moja kasoro usiku
 
Ndio hawa wana viburi hatari. Wana majibu mabaya na kutaka rushwa. TMJ mmezidi rushwa na kuwanyanyasa wagOnjwa. ipo siku mtabaki historia.
 

Attachments

  • 1450902879725.jpg
    1450902879725.jpg
    53.5 KB · Views: 343
Ndio hao wamenizingua sana hao. Huyo dada na wenzie wanazingua sana wagonjwa wa bima.
 
Back
Top Bottom