Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,469
Ukimlinda sana mwanamke ndio utachapiwa hadi ukome, ishini maisha ya kisela.
Mkuu kubali tu kuwa Duniani kuna hii kitu ya kuibiwa, nina tatizo kama lako na mimi wangu analudi mpaka saa tano kisa kazi tumechelewa kutoka usafiri shida na blah blah kibao. Mi ninachoangalia saa hizi ni future ya watoto sio hizi habari za kuibiwa acha waibe tu na mimi nikitaka si napewa na kinakuwa vile vile.
Mkuu kubali tu kuwa Duniani kuna hii kitu ya kuibiwa, nina tatizo kama lako na mimi wangu analudi mpaka saa tano kisa kazi tumechelewa kutoka usafiri shida na blah blah kibao. Mi ninachoangalia saa hizi ni future ya watoto sio hizi habari za kuibiwa acha waibe tu na mimi nikitaka si napewa na kinakuwa vile vile.
BWANA asipourinda mjia,arindaye akesha bure,hilo suala halina we kama mume mpe mkeo haki zake zote stahili zake mengine yaache kama yalivyo!
kama kampata mpiggaji mbuzi kagoma kama mimi...
Mh ngumu kumesa,me wangu tatizo la usafiri nshalisolve nime mnunulia ka passo ila limebakia tu la foleni,niponjiani kumtengenezea barabara ya angani
Yaan unikute na kaz ..uniachishe kwa wivu wako loo siachi
Siku moja mpige ambushi , akirudi mvue nguo zote achuchumae halafu mvutishe ugoro ..... Alianza kupiga chafya utapata majibu au mrushe kichura chura labda waweze wanatumia condom.
Ila kingine mkuu mwachishe tu kazi kama una ubavu wa kuhudumiakila kitu.