Habar za humu wanajf ,
Mimi ni kijana nilimalza form 4 mwaka 2012 na kupata 4 ya 28 ,nimesoma MASOMO YAARTS .Matokeo hayo yaliniumiza sana na kunikatisha tamaa kiukweli.Sasa baadae 2014 nkaenda kusoma special course ya ualimu wa private nimemaliza mwaka jana .Sasa naenda kuaply kwa ajili ya...
Nilimaliza form 4 mwaka 2012 ,kutokana na matokeo yale nilipata div4 ya 28 .Matokeo hayo yalinikatisha tamaa kiukweli sio siri.2014 nkaenda soma special course ya ualimu wa private na kumaliza mwaka jana. Sasa nataka nijiendeleze naambiwa hyo course uliosoma haijasajiliwa! Sasa msaada ninaouomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.