Umezungumzia kwa kanda ya ziwa ila naamini hiyo Mbogwe hata uipambe vipi haiifikii mpanda kwa mpunga na mahindi
Sasa mpaka hapo hujanishawishi kwa kigezo Cha kuchaguliwa,labda uniambie kwa utashi wa wenye maamuzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.