Katika uzi huu mang’amuzi ya kisayansi yametumiwa kutilia shaka maudhui yanayoonekana kwa juu juu katika andiko la ikulu la kutofurahishwa na mjadala wa kuongeza muda wa urais. Badala yake, uzi huu unajikita katika maudhui yaliyojificha. Natumia mang’amuzi ya sayansi kwa sababu sayansi inatabia...
Nichukue nafasi hii kulipongeza jeshi kwa kutii na kuchukua hatua za haraka dhidi ya uvunjwaji wa maadili unaendelea hapa nchini.nimefarijika sana na endeleeni hivo hivo.zawadi yenu inakuja
Watanzania wenzangu hamjambo?mimi sijambo ,kuna jambo moja naomba tuwekane sawa. Kuna vyama vya siasa kama CCM ambacho ni dume lao na vivyama vyama vya ajabu ajabu kama chadema,act ,cuf etc.hivi vyama vya upinzani havijui vinafanya nin na vimepoteza uelekeo wa kiutendaji.chama cha chadema...
Sasa wadau kila nikisema wanawake wengine wavaaga kishetani/kimalaya mnakataaga.kuna wanawake ninao kwenye list yangu ni wanavaaga kihuni sana.mimi niwaonye tu hadharani waache utovu wa maadili na wavae vizuri.leo naweka uthibitisho kwa picha ya namna wanavyovaaga kimalaya,mnataka mnunuliwe...
Habari zenu watanzania popote pale mlipo,
Leo naandika hii mada kwa uchungu juu ya kupotea njia kwa wanawake wetu.
Mimi hua sielewi hata kidogo namna wanawake wanavyovaa ani sielewi, hadi najiuliza ni nani kawaroga?
Utakuta mdada kama Faiza amevaa mavazi ya kishetani na nikijaribu kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.