Wanawake na uhuni

Wanawake na uhuni

Mleta uzi nadhani upo sahihi ktk kile unacho kikemea but usisahau hata uhuni wa tabia ya kutotulia na mwanaume mmoja hii pia imekuwa ugonjwa wa taifa. Wasichana kwa wanawake wamewaka tamaa kupenda kusiko na thaman,
 
Mleta uzi nadhani upo sahihi ktk kile unacho kikemea but usisahau hata uhuni wa tabia ya kutotulia na mwanaume mmoja hii pia imekuwa ugonjwa wa taifa. Wasichana kwa wanawake wamewaka tamaa kupenda kusiko na thaman,
Wavulana na wanaume wanatulia na mwanamke mmoja???
 
Asee kuna mmoja nilikutana naye kituo cha basi amevaa skin jeans imeambana mpaka umbile la camel toe (labia majora) inaonekana..! Na kwa jinsi alivyobarikiwa lile eneo limevimba mpaka utadhani ameficha kitumbua..!
Sema mie naona poa tu..! Wavae tu maana ni burudani kuangalia neema za Allah!
 
Mkuu je hawa makabila jamii ya kimasai wanaoishi nyikani wanaacha matiti wazi wenyewe unawaweka kundi gani mkuu?
Unaweza kuthibitisha kwa picha hao wamasai wanaoacha matiti wazi?
 
Wanawake tu ndo wahuni na wanaovaa milegezo mpk boxer znaonekana hao tunawaitaje?
 
mkitaka hayo mambo yenu ya hovyo hovyo kuingilia haki za watu na uhuru wao uondoeni watu wajue sio mnautoa kwa mkono mmoja huku mkono mwingine unapokonya
 
Habari zenu watanzania popote pale mlipo,

Leo naandika hii mada kwa uchungu juu ya kupotea njia kwa wanawake wetu.

Mimi hua sielewi hata kidogo namna wanawake wanavyovaa ani sielewi, hadi najiuliza ni nani kawaroga?

Utakuta mdada kama Faiza amevaa mavazi ya kishetani na nikijaribu kutafuta sababu ya kufanya hivo sipati.

Nakuja na jibu moja tu WANAWAKE WOTE WANAOVAA KIHUNI WOTE NI MALAYA NA PENGINE WANATANGAZA SOKO.

Hatukatazi kuvaa suruali lakini unakuta kidada kimevaa suruali imembana mpaka unaona maumbile yote yalivyo! Nashangaa sana ni uhuni huo wanaume wapo tu na ili kuwapata sio lazima uvae kama shetani.

Jitahidini hata kama ni malaya vaeni kwa heshima. Kwa taarifa nilizo nazo asilimia kubwa ya wanawake vijana Tz ni malaya.

Sasa dawa yao inakuja muda si mrefu, wajiandae serikali haitavumilia haya maovu na uhuni, hii ni nchi ya maadili na sio danguro la wahuni.
Nichukue nafasi hii kulipongeza jeshi kwa kutii na kuchukua hatua za haraka dhidi ya uvunjwaji wa maadili unaendelea hapa nchini.nimefarijika sana na endeleeni hivo hivo.zawadi yenu inakuja
 
Back
Top Bottom