Recent content by kapale323

  1. kapale323

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo naona kama ni hela hivi Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  2. kapale323

    JamiiForums Tanzania Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

    Tafuteni kitabu kinaitwa, "IMANI ZA JADI ZA KISUKUMA, HAKIKOME ". kitabu hiki kiliandikwa na Hendricks Chenya na Anthony Mayala
  3. kapale323

    JamiiForums Tanzania Tukemee Shetani la Linalotushawishi Kupata Katiba Mpya!!

    Am a passer-by japo sijakubaliana na point zako
  4. kapale323

    JamiiForums Tanzania Jinsi "Tone Radio" ilivoibomoa "Sahara Media Group" mpaka leo inachechemea

    Mmemsahau pia soggy dogg anter aliwahi kuendesha kipindi cha show time pale rfa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kapale323

    JamiiForums Tanzania Good Morning Afrika ya Wasafi Media: Kipindi kipya chini ya Charles William, Salma Dacota na David Rwenyagira

    Kipindi kama hicho kimeanzishwa na RFA ya Mwanz tena kitambo sana sasa nashangaa Wasani nao wanafanya copy & paste Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kapale323

    JamiiForums Tanzania Kwa huduma za Mafunzo ya udereva wa awali karibu sana Home of Excellence Driving School

    Tulioko mikoani inakuwaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kapale323

    JamiiForums Tanzania Fideline Iranga amekuwaje?

    Ivi huyo Fideline Iranga ni nani? Naitaji kufafanuliwa tu make simjui Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kapale323

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mi natumia pmbet naona wako vizuri, pesa yako unaipata baada ya mechi kuisha
  9. kapale323

    JamiiForums Tanzania ATC Sasa Yaanza Kuleta Heshima ya Nchi, Yapunguza Tanzania Kufanywa Shamba la Bibi, FastJet Yapumulia Mashine, Soon Itafungasha Virago!.

    Tupe comparison ya nauli za ATCL na zile za Fastjet ndo tuelewe make watz kwasasa hawana hela wanachoangalia ni unafuu na siyo sifa ya kusafiri na Dreamliner. Binafsi bado nawakubali Fastjet kwenye suala la nauli (low cost line)
  10. kapale323

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao

    Habari zenu wadau... Napenda kuchukua fursa hii kuwaomba wadau watiririke chochote wanachokijua kuhusu kinachotrend kuhusu Jaguar maake sina taarifa kamili kuweza kuiandika hapa jamvini lakini naimani wadau watatujuza. Nawasilisha
  11. kapale323

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa maisha ya wanyama na tabia za kushangaza

    Fisi maji ni balaa kwa kugegeda, yaani akijikwaa popote ye anapiga bao Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kapale323

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila:Wakati Wa "HandShake" Na Uhuru Simu Ya Kalonzo Ilikuwa Imezimwa

    Kwani kuzima kwa simu ya Kalonzo kuliathiri nini kwa taifa la Kenyq?
  13. kapale323

    JamiiForums Tanzania Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    HABARI ZAHUKO ZANZIBAR ASUMAN UMEKUWA KAMA RAMA NMEKUSAIDIA UMEKUWA NAMAISHA MAZURI UMEKUWA MJANJA JE NINGEKUPA NDAGU YAMASHARTI KAMA WAGANGA WENGINE WANAVYO TOAGA UKAENDA TOFAUTI HIVI SIUNGERU FAMILIA YAKO BURE
  14. kapale323

    JamiiForums Tanzania Vodacom tuambieni kuna nini kuanzia saa 2.45 – 3..usiku

    Wanaboa mi mwenyewe nime experience tatizo hilo kwa sikubza hivi karibuni
  15. kapale323

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Mimi ni Rais kweli kweli, jiwe. Sitishwi wala sitishiki; azindua kiwanda cha Alizeti mkoani Singida

    Hivi soko la maembe ng'ong'o ntapata wapi?
Back
Top Bottom