Umetumwa kulitangaza gazeti au? Maskofu wana vitu vinne ambavyo upande wa pili hawana,1.Busara,2.Hekima ya Mungu,3.Elimu 4.Kuchuja Mambo(Hawakurupuki)!
Huwa siusumbui ubongo wangu ninaposikia wajinga wachache wakilisifia kabila lao eti wachaga!! Hawa wana sifa ya ubifsi na umimi na huu ndio wasiwasi wangu juu Chadema japo kinasera nzuri
Wamejiandaaje wale waliooa wake wakristo? Maana kuna intermarriage na wao itakuwaje? Ushauri wa bure nadhani muhimu ni wao kuanzisha mahakama hizo misikitini kwao kimya kimya
Kutojua sheria sio tiketi ya kufanya makosa ambayo hata asiye profesa hawezi kufanya pumba hizo,Kwann isingelipwa kwenye account ya shule straight? Huyu ni mwizi tu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.