Anna Tibaijuka Achunguzwe zaidi

Anna Tibaijuka Achunguzwe zaidi

mna undugu nyie si bure ww nae tahira tu kama uyo proffesor wa wezi

Bahati mbaya mtu ukizaliwa huwa hauulizwi ni nani unataka awe ndugu yako na asiwe kwahiyo hata kama ingetokea nimezalgwa na kumkuta ni ndugu hakuna lolote ambalo ningeweza kulihoji kwanini ilikuwa hivyo, i.e hata wewe haikutokea tu ila ingetokea ungejikuta ni ndugu kama sie unaotulazimisha tuonekane ndugu zake, kimsingi naamin katika falsafa ya binadamu sote ni ndugu sasa rudi kwenye hoja,nimekwambia ujinga wenu ndo umaskini wako na wa kwenu,list imetaja zaidi ya watu 20 sasa inavyotokea unaanzisha thread tofauti kwa ajiri ya kumsuaject mtu 1 tu kwa sisi wenye kuchanganua mambo lazima tuquest kulikoni hapa? ukitaka kuongea analytically kwanza ondoa subjectivity vinginevyo utakuwa bias na hivyo kutakiwa uchunguzwe kwanza wewe bnafsi kama uko sawa,acheni chuki ili fikra zenu ziwe ziishi milele,unajua legacy ya Mandera ilikujaje?
 
Eti anasaidia watoto maskini.ada 4.5m!bibi roho mbaya sura mbaya

Acha kupotosha watu. Unatakiawa kuelewa historia ya shule vizuri. Soma mkakati wa shule na kuuelewa. Acha wivu. Fanya kazi upate mapato yako halali. Shule ya Barbro ilianza kwa kusajili watoto yatima tu, ambao hawakuwa wakilipa karo.

Baadaye, shule ya Barbro iliongeza kundi jingine; watoto kutoka familia zenye uwezo kidogo lakini wenye uwezo kitaaluma (bright) kwa wazazi husika kulipa robo ya karo, robo tatu ikilipwa kwa ruzuku ya ufadhili wa shule kutoka Uswidi.

Shule ilipoendelea kukua, hususan kufanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha 4 na 6,shauku ya wazazi, tena wenye uwezo kiuchumi kupepeleka watoto wao kusoma shule ya Barbro, ili-inform sera ya shule ya Barbro kuwahudumia watoto wanaotoka katika familia zenye backgrounds tofauti, hivyo kulipa karo katika viwango tofauti. Kuna watoto wanaotoka familia maskini wanaendelea kusoma bure, kunawatoto wanaolipa robo ya karo wakipewa ruzuku robo tatu, kuna wanaolipa nusu ya karo na kufadhiliwa ruzuku nusu, kuna wanaolipa robo tatu ya karo na kupewa ruzuku robo, na kuna kundi kubwa la watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo wanaolipa yoteya Tzs. 4.5m/-.

Lakini ingefaa kujua kuwa karo imepanda mwaka huu (2014) kutoka TZs.3m/-, baada ya Waswidi waliokuwa wakifadhili shule hii kumaliza muda wao wa ufadhili ili shule iweze kujitegemea hivyo kujiendesha yenyewe (self-sustaining entity).


Aidha ni muhimu kufahamu kuwa kiasi cha karo, kwa wazaziwanaolipa Tzs. 4.5m/- inachangia watoto wanaotoka katika familia zisizojiwezawaliosajiliwa shuleni Barbro kutokana na uwezo wao kitaaluma/kumudu masomo.

Huo ndio ukweli. Watanzania tuache uswahili au kuchanganya our political vendetta-motivated politics dhidi ya jitihada binafsi za baadhi ya viongozi wa kisiasa kusaidia harakati za maendeleo.

Professa Tibaijuka amekuwa aki-fundraise kwa ajili ya kupta pesa za kuendesha shule za Barbro Johanssen Trust.

Ukitathmini ubora na thamani ya sasa ya shule za Barbro (D'Salaam) na Alexander Kajumulo (Bukoba) utakubaliana na ukweli kuwa Tzs. 1.6b/- ni peanut. Huo ndio ukweli.


Anayetaka kufanya siasa za upinzani awe genuine, siyo kuletavendetta.
 
Aa kupotosha watu. Unatakiawa kuelewa historia ya shule vizuri. Soma mkakati wa shule na kuuelewa. Acha wivu. Fanya kazi upate mapato yako halali. Shule ya Barbro ilianza kwa kusajili watoto yatima tu, ambao hawakuwa wakilipa karo.

Baadaye, shule ya Barbro iliongeza kundi jingine; watoto kutoka familia zenyeuwezo kidogo lakini wenye uwezo kitaaluma (bright) kwa wazazi husika kuliparobo ya karo, robo tatu ikilipwa kwa ruzuku ya ufadhili wa shule kutoka Uswidi.

Shule ilipoendeleakukua, hususan kufanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha 4 na 6,shauku ya wazazi, tena wenye uwezo kiuchumi kupepeleka watoto wao kusoma shuleya Barbro ili-inform sera ya shule ya Barbro kuwahudumia watoto wanaotokakatika familia zenye background tofauti, hivyo kulipa karo katika viwangotofauti. Kuna watoto wanaotoka familia maskini wanaendelea kusoma bure, kunawatoto wanaolipa robo ya karo wakipewa ruzuku robo tatu, kuna wanaolipa nusukaro na kupwea rusuku nusu, kuna wanaolipa robo tatu na kupewa ruzuku robo nakuna kundi kubwa la watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo wanaolipa yoteya Tzs. 4.5m/- Na karo hii imepanda kutoka TZs.3m/- mwaka huu baada ya Waswidiwaliokuwa wakifadhili shule hii kumaliza muda wao wa ufadhili ili shule iwezekujitegemea kwa kujiendesha yenyewe (self-sustaining entity).

Aidha ni muhimu kufahamu kuwa kiasi cha karo, kwa wazaziwanaolipa Tzs. 4.5m/- inachangia watoto wanaotoka katika familia zisizojiwezawaliosajiliwa shuleni Barbro kutokana na uwezo wao kitaaluma/kumudu masomo.
Huo ndio ukweli. Watanzania tuache uswahili au kuchanganyaour political vendetta motivated politics dhidi ya jitihada binafsi za baadhiya viongozi wa kisiasa kusaidia hrakat za maendeleo.

Professa Tibaijuka amekuwa fundraisekwa ajili ya kupta pesaza kuendesha shule za Barbro Johanssen Trust. Ukitathmini ubora na thamani yasasa ya shule za Barbro (D’Salaam) na Alexander Kajumulo (Bukoba) utakubalianana ukweli kuwa Tzs. 1.6b/- ni peanut. Huo ndio ukweli.

Anayetaka kufanya siasa za upinzani awe genuine, siyo kuletavendetta.

atakuwa prof mwenyewe huyu
 
Nememskia akilialia kwenye radio mojawapo eti watu wanamuonea kwa vile anataka kugombea urais. Anadai Mengi aliwahi kumpa 200million; Mkapa alimpa 16acres na Museven alimpa ngombe 200 akakabidhi kwenye kituo cha mifugo cha serikali cha Maruku. Anadai maadili anayajua sana na hawezi kuomba vihela kwa James Ruge kwa vile yeye ana vijinsenti vinamtosha.
 
"Two wrongs do not make a right"
Kujitetea kwake kuwa ni msaada wa shule haipindishi ukweli kuwa hizo hela ni za wizi na yeye ni mwizi.
Bank kuwa na weakness kutoa all that cash at a time ni kosa la kibenki..lakini hata yeye anamakosa..
Huwezi leo kufanya makosa na kujitetea ulikua hujui sheria..huyu mama nabaki kusema ni mwizi..na hastaili kubakia katika hicho kiti...mshenzi sana huyu mama
 
Acha kupotosha watu. Unatakiawa kuelewa historia ya shule vizuri. Soma mkakati wa shule na kuuelewa. Acha wivu. Fanya kazi upate mapato yako halali. Shule ya Barbro ilianza kwa kusajili watoto yatima tu, ambao hawakuwa wakilipa karo.

Baadaye, shule ya Barbro iliongeza kundi jingine; watoto kutoka familia zenye uwezo kidogo lakini wenye uwezo kitaaluma (bright) kwa wazazi husika kulipa robo ya karo, robo tatu ikilipwa kwa ruzuku ya ufadhili wa shule kutoka Uswidi.

Shule ilipoendelea kukua, hususan kufanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha 4 na 6,shauku ya wazazi, tena wenye uwezo kiuchumi kupepeleka watoto wao kusoma shule ya Barbro, ili-inform sera ya shule ya Barbro kuwahudumia watoto wanaotoka katika familia zenye backgrounds tofauti, hivyo kulipa karo katika viwango tofauti. Kuna watoto wanaotoka familia maskini wanaendelea kusoma bure, kunawatoto wanaolipa robo ya karo wakipewa ruzuku robo tatu, kuna wanaolipa nusu ya karo na kufadhiliwa ruzuku nusu, kuna wanaolipa robo tatu ya karo na kupewa ruzuku robo, na kuna kundi kubwa la watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo wanaolipa yoteya Tzs. 4.5m/-.

Lakini ingefaa kujua kuwa karo imepanda mwaka huu (2014) kutoka TZs.3m/-, baada ya Waswidi waliokuwa wakifadhili shule hii kumaliza muda wao wa ufadhili ili shule iweze kujitegemea hivyo kujiendesha yenyewe (self-sustaining entity).


Aidha ni muhimu kufahamu kuwa kiasi cha karo, kwa wazaziwanaolipa Tzs. 4.5m/- inachangia watoto wanaotoka katika familia zisizojiwezawaliosajiliwa shuleni Barbro kutokana na uwezo wao kitaaluma/kumudu masomo.

Huo ndio ukweli. Watanzania tuache uswahili au kuchanganya our political vendetta-motivated politics dhidi ya jitihada binafsi za baadhi ya viongozi wa kisiasa kusaidia harakati za maendeleo.

Professa Tibaijuka amekuwa aki-fundraise kwa ajili ya kupta pesa za kuendesha shule za Barbro Johanssen Trust.

Ukitathmini ubora na thamani ya sasa ya shule za Barbro (D’Salaam) na Alexander Kajumulo (Bukoba) utakubaliana na ukweli kuwa Tzs. 1.6b/- ni peanut. Huo ndio ukweli.


Anayetaka kufanya siasa za upinzani awe genuine, siyo kuletavendetta.

Hebu angalia unavyojichanganya...
1; Shule ilianza kusajili watoto yatima tu ambao hawakulipa ada (Inaonekana mbinu hii ilitumika kwa ajili ya kuombea misaada na kuaminisha uma kuwa shule haifanyi biashara)

2; Baadae Shule iliongeza kundi jingine la watoto wenye uwezo (Hapa kwanza unapunguza watoto wa kundi la kwanza ambao ni yatima na pili Unatoka nje ya mission na vision ya shule kusaidia watoto yatima)

3; Matokeo yalipokuwa mazuri shule ikabadilisha sera yake na kuanza kupokea watoto wenye uwezo (Hapa biashara imeanza rasmi)

Kwa ufupi watoto yatima wanatumika kama kigezo cha kuombea msaada tu shuleni kwenu.Na usikute hawafiki hata 20 shule nzima.Kiufupi shule yenu haieleweki inafanya biashara au inatoa huduma.
 
acha kupotosha watu. Unatakiawa kuelewa historia ya shule vizuri. Soma mkakati wa shule na kuuelewa. Acha wivu. Fanya kazi upate mapato yako halali. Shule ya barbro ilianza kwa kusajili watoto yatima tu, ambao hawakuwa wakilipa karo.

baadaye, shule ya barbro iliongeza kundi jingine; watoto kutoka familia zenye uwezo kidogo lakini wenye uwezo kitaaluma (bright) kwa wazazi husika kulipa robo ya karo, robo tatu ikilipwa kwa ruzuku ya ufadhili wa shule kutoka uswidi.

shule ilipoendelea kukua, hususan kufanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kidato cha 4 na 6,shauku ya wazazi, tena wenye uwezo kiuchumi kupepeleka watoto wao kusoma shule ya barbro, ili-inform sera ya shule ya barbro kuwahudumia watoto wanaotoka katika familia zenye backgrounds tofauti, hivyo kulipa karo katika viwango tofauti. Kuna watoto wanaotoka familia maskini wanaendelea kusoma bure, kunawatoto wanaolipa robo ya karo wakipewa ruzuku robo tatu, kuna wanaolipa nusu ya karo na kufadhiliwa ruzuku nusu, kuna wanaolipa robo tatu ya karo na kupewa ruzuku robo, na kuna kundi kubwa la watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo wanaolipa yoteya tzs. 4.5m/-.

Lakini ingefaa kujua kuwa karo imepanda mwaka huu (2014) kutoka tzs.3m/-, baada ya waswidi waliokuwa wakifadhili shule hii kumaliza muda wao wa ufadhili ili shule iweze kujitegemea hivyo kujiendesha yenyewe (self-sustaining entity).


aidha ni muhimu kufahamu kuwa kiasi cha karo, kwa wazaziwanaolipa tzs. 4.5m/- inachangia watoto wanaotoka katika familia zisizojiwezawaliosajiliwa shuleni barbro kutokana na uwezo wao kitaaluma/kumudu masomo.

huo ndio ukweli. Watanzania tuache uswahili au kuchanganya our political vendetta-motivated politics dhidi ya jitihada binafsi za baadhi ya viongozi wa kisiasa kusaidia harakati za maendeleo.

professa tibaijuka amekuwa aki-fundraise kwa ajili ya kupta pesa za kuendesha shule za barbro johanssen trust.

Ukitathmini ubora na thamani ya sasa ya shule za barbro (d’salaam) na alexander kajumulo (bukoba) utakubaliana na ukweli kuwa tzs. 1.6b/- ni peanut. Huo ndio ukweli.


anayetaka kufanya siasa za upinzani awe genuine, siyo kuletavendetta.
kuna shule ada ni mil 12 hapa bongo.mil 4 hyo ni kwa shule nyingi tu mbona?miundo mbinu ya barbro ni mizuri na mchanganuo uliotoa unaeleka.feza boys ada yao zaidi ya mil 8 lakini ina ufadhiri wa waturuki.watu wasiojua jinsi jamii ilivyo na mambo yanayoendelea maeneo mengine, hukosa maarifa zaidi ya kile wanachokijua,kiufupi huo ni ujinga!
 
majina ya fidia kwa baadhi ya mitaa ya kigamboni yamebandikwa wiki iliyopita kumbe imebainika ni changa la macho.
 
atakuwa prof mwenyewe huyu

Umejieleza vizuri ila Neno Peanut Money sio sahihi, kwanza sababu aliyotoa ni baada ya kubanwa, hii shule ya barbra anaisaidia kwa pesa binafsi au pesa za umma zilizo katika grafted syndicate?
 
hebu angalia unavyojichanganya...
1; shule ilianza kusajili watoto yatima tu ambao hawakulipa ada (inaonekana mbinu hii ilitumika kwa ajili ya kuombea misaada na kuaminisha uma kuwa shule haifanyi biashara)

2; baadae shule iliongeza kundi jingine la watoto wenye uwezo (hapa kwanza unapunguza watoto wa kundi la kwanza ambao ni yatima na pili unatoka nje ya mission na vision ya shule kusaidia watoto yatima)

3; matokeo yalipokuwa mazuri shule ikabadilisha sera yake na kuanza kupokea watoto wenye uwezo (hapa biashara imeanza rasmi)

kwa ufupi watoto yatima wanatumika kama kigezo cha kuombea msaada tu shuleni kwenu.na usikute hawafiki hata 20 shule nzima.kiufupi shule yenu haieleweki inafanya biashara au inatoa huduma.

wewe umezuiwa jamani?huo ni wivu na upumbavu!msaada si lazima watoto kusoma, hata uwepo wa shule yenye miundombinu mizuri imejengwa kwa jitihada zake ni msaada.mbona wazungu wanatupa mikopo lakini inaitwa misaada?kuwa na uelewa mpana na kama wewe ni slow learner,nenda veta ukajifunze kuosha magari hapo huwezi kuargue.
 
Jibu swali hili
Ni sahihi huyu mama(sio tena profesa) ku lob hela kwa hiyo shule na kuingiziwa kwa akaunt yake?huo ni wizi
Kwa hali ya kawaida tuu,hizo hela ni nyingi kupewa kama zawadi labda kama anatoa tigo.
Pili,atuambie kama hajashtuka na hizo hela kupewa nyingi kina nani walishawai kumpa hela zaidi ya hizo..?
"There is no free lunch in usa" kuna utamu wake kupewa hizo fedha sio buree
 
wewe umezuiwa jamani?huo ni wivu na upumbavu!msaada si lazima watoto kusoma, hata uwepo wa shule yenye miundombinu mizuri imejengwa kwa jitihada zake ni msaada.mbona wazungu wanatupa mikopo lakini inaitwa misaada?kuwa na uelewa mpana na kama wewe ni slow learner,nenda veta ukajifunze kuosha magari hapo huwezi kuargue.

Nimekuelewa mama Tiba.
 
Kutojua sheria sio tiketi ya kufanya makosa ambayo hata asiye profesa hawezi kufanya pumba hizo,Kwann isingelipwa kwenye account ya shule straight? Huyu ni mwizi tu!!!
 
10830431_819566874751218_1501640315256681273_o.jpg
 
Kutojua sheria sio tiketi ya kufanya makosa ambayo hata asiye profesa hawezi kufanya pumba hizo,Kwann isingelipwa kwenye account ya shule straight? Huyu ni mwizi tu!!!

Usichangie jambo kama haujalifahamu,umelazimishwa?Alisema kuwa alikopa hela kwa ajili ya shule lakn kaweka nyumba yake rehani,amepewa kalipia mkopo.HATA HVO ALIYEMPA KAUZA CHAKE,WEWE HELA ULIYONUNULIA BUNDLE UNA UHAKIKA SIO ZILE ZA ESCROW?HAPA NINAONA CHUKI BINAFSI WALA HAKUNA HOJA YA KUMWITA MWIZI HUYU BIBI.KWA PAPARA HZ TULIZONAZO KWENYE ANALYSIS ZA ISSUES NAFUU HATA CHENGE AKAWA RAIS,HAMNA HEKIMA.
 
Eti anasaidia watoto maskini.ada 4.5m!bibi roho mbaya sura mbaya

hiyo ada ni kubwa mno yaani mwanafunzi mmoja Babro Johnson anaweza somesha wanafunzi wanne shahada St Augustine au wawili St Joseph Engineering University,halafu tuseme anasaidia maskini?
 
Hebu angalia unavyojichanganya...
1; Shule ilianza kusajili watoto yatima tu ambao hawakulipa ada (Inaonekana mbinu hii ilitumika kwa ajili ya kuombea misaada na kuaminisha uma kuwa shule haifanyi biashara)

2; Baadae Shule iliongeza kundi jingine la watoto wenye uwezo (Hapa kwanza unapunguza watoto wa kundi la kwanza ambao ni yatima na pili Unatoka nje ya mission na vision ya shule kusaidia watoto yatima)

3; Matokeo yalipokuwa mazuri shule ikabadilisha sera yake na kuanza kupokea watoto wenye uwezo (Hapa biashara imeanza rasmi)

Kwa ufupi watoto yatima wanatumika kama kigezo cha kuombea msaada tu shuleni kwenu.Na usikute hawafiki hata 20 shule nzima.Kiufupi shule yenu haieleweki inafanya biashara au inatoa huduma.

Unatakiwa kuwa na uwezo wa kusoma na kuelewa kilichoandikwa;siyo kutembeza uswahili wala kutanguliza hisia kali. Nimekushauri usome mkakati wa shule. Tatizo lako na watu waaina yako mnajadili pesa badala ya kufahamu na kujadili masuala makuuyanayobeba mjadala (debate).

Kama hujui mkakati wa maendeleo wa asasi husika usijiingizekwenye mjadala kuhusu maendeleo ya asasi hiyo.
Kupata wazo na kubadilisha wazo kuwa bankable project, ku-developplan, kuandaa design ya kutekeleza mpango, kuanzisha asasi yenye malego namajukumu ya kutekeleza shughuli wakilishi ya wazo la awali la maendeleo Fulani (sema shule) siyo jambo la mzaa wala eneo la kila mtu kuweza kufanya, achiliambali kufahamu. Na hili ndilo tatizo la nchi maskini na fursa kwa asasi zakimataifa kama benki ya Dunia, IMF, Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya nakadhalika, kuingilia na kuchagiza mipango ya maendeleo ya nchi maskini, ikiwani pamoja na Tanzania. Hali hii inaitwa poor public policy understanding,design, execution/implementation and analysis of underdeveloped countries.

Kama asasi (shule) husika huzijui usijiingize kwenye mjadala kwa hoja za kufikirika bila rejea ya nadharia au taarifa za tafiti.

Kwanza nataka ufahamu kuwa binafsi sina uhusiano wowote nashule za Tibaijuka zaidi ya watoto wangu kusoma pale na ninalipa karo kiasichote cha Tzs. 4.5m/- kwa kila mtoto. Hivyo I am an impartial, civilised andresponsible citizen nisiyependa uswahili na ubabaishaji katika maendeleo – kuanziangazi ya mtu mmoja, kaya na asasi rasmi (kitaifa, kimataifa, serikali, isiyo yaserikali, biashara au huduma).

Ukiwa mwananchi unayewajibika unajukumu la kushinikizaserikali ya CCM iboreshe shule za umma (walimu, vifaa, miundombinu, usimamizi) ili watoto wako, na pengine waWatanzania wengine wa aina yako, waweze kunufaika na elimu bora badala yakuchukia wadau wa harakati binafsi za kuwekeza kwenye elimu.

Unaweza kumwajibisha Tibaijuka kwa namna yoyote unayowezalakini siyo ku-launch unduly accusations and uninformed arguments.
 
Back
Top Bottom