Ufisadi wote huu huu unaofanyika tuwalaumu waasisi wa taifa hili mana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.kuna watu wamepewa heshima kubwa na kuitwa watakatifu lakini wao ndio waasisi wa uchafu wote hapa tanzania.kuna mwinjilisti wa tazama tanzania aliandika makala yake nikamwona mpumbavu sana!eti...
Ujue sisi tunafadhiliwa na nchi za magharibi sana ambao tunawasaidia kutekeleza sera zao za kifirauni kama ushoga,dhulma mbalimbali,sema hatujui kuwa sisi tuko mbele na hawatukamati kwa sasa hela zetu zote zimetokana na primitive accumulation of capital ndio mana sisi tunejenga masonic...
Mfumo kristo,tanzania watu watapoteana muda si mrefu,nyie ambao mnapinga mwangaza wa redio imani toeni hoja msiropoke,kwa wajinga wanajui historia haijirudii,maaskofu sio watu ila waongo na wanadhani uongo wao utadumu.
Wote hapo juu mnaweza kuwa logic lakini wote hamjui historia au ni wanafiki,wanadiplosia feki,wote hamjui kwamba huwezi kutenganisha kanisa katoliki na utumwa,upebari na ukoloni mamboleo,ndio mana kuna kitabu cha kanisa katoliki cha kanisa katoliki na siasa za tanzania bara,wameandiaka adui wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.