eneo la wazi mwananyamala panajengwa madrasa!!!!?!!

Mahesabu

JF-Expert Member
Jan 27, 2008
5,972
3,830
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza
 
pesa ya kiwanja itoke wapi sadaka sh 50.na utakuta madrasa yenyewe ya makuti
 
eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa nawapongeza
Sijakuelewa,ulitaka kusema nini?What is a news?
 
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza
Ulitaka wajenge kanisa?
 
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza
hahahahaha
ulitaka isiwe hivyo ilivyo sasa,ama angalau unapongeza kuona sasa wamepata pesa na kujenga majengo? ama kuna kitu ulitaka sema ila unaona huwezi sema labda litaleta mtafaruku?
 
Eneo ni la kwao ila waliliacha litumike kwa michezo, au ni eneo wazi la serikali?
Kama ni emeo la kwao basi waache wajenge, ila kama wamevamia wabomoe haraka sana.
 
nadhani tunahitaji kuchapana kidogo ili tuheshimiane...... kuna wengine kutwa kuripoti mijadala redio iman kishabiki hivi
 
eneo laweza kuwa wazi likawa na mwenyewe, unless una uhakika kuwa ni la wazi, otherwise sio issue...nakama ni la wazi nadahn tatizo litakuwa manispaa..why not stop order
 
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza

Mkuu, je unafahamu ni nani mwenye haki na mamlaka na hili eneo la wazi la Mwananyamala?
 
Ulitaka wajenge kanisa?

But why a madrasa and not something usefull?!. twalalama wenzetu wanavyuo na shule nyingi, basi na tujisifie tunazo madrasa nyingi maana nyingine ziko hata chini ya mti. kwa hili tumewapiku wenzetu na hawatukamati kamwe.
 
Ujue sisi tunafadhiliwa na nchi za magharibi sana ambao tunawasaidia kutekeleza sera zao za kifirauni kama ushoga,dhulma mbalimbali,sema hatujui kuwa sisi tuko mbele na hawatukamati kwa sasa hela zetu zote zimetokana na primitive accumulation of capital ndio mana sisi tunejenga masonic building.kuwa msomi sio kuwa na degree za juu.Eti tumeendele lakini tunadanganywa eti 3=1 na 1=3.akili au matope.tumeendelea kweli nimadoctor na maprofesa.kitendawili!
 
pesa ya kiwanja itoke wapi sadaka sh 50.na utakuta madrasa yenyewe ya makuti
wenye pesa ndo maana akina mwingira, Rusekelo,kakobe na malisa na yule --------- wa Agape na mkewe anaevaa kikuku cha dhahabu ndo wenye pesa zao na wanauwezo pa usiku kupafanya mchana pa mchana kupafanya usiku. Si ndo wachungaji wa kondoo wa bwana? Na mchungaji huwezi mzibiti asinywe maziwa na hata nyama.
 
Linajengwa? Eneo la Wzi? Mahesabu -umejuaje ni la wazi? kwa kuwa tangu muda limekuwa linatumika kuchezea hivyo kwa ukafiri wako ukajua halina mwenyewe? Nadhani ungefanya utafiti kule ardhi (kinondoni au wizarani) ndo uwe na uhalali wa kusema hayo. My WEB-sadaka 50 siyo jukumu lako waislam siyo kama wakatoliki wanaoitegemea Roma na Serikali kwa ruzuku -Waislam wanajua kujetemea japo kwa chao kidogo-hawana mabwana wa kuwagawia pesa za dhuluma. Inaelekea ukiona waislam wanajenga hata hiyo madrasa unayoiita ya makuti unaumia saaaana, basi jua kwa sasa utaumia zaidi
 
angaza..... nyuma ya mwananyamala sokoni pia kuna open space....madrasa ipo pale pia
 
Naskia kuna jamaa atafungua bucha ya kitimoto jirani
'
Patakua patamu hapo!
 
Linajengwa? Eneo la Wzi? Mahesabu -umejuaje ni la wazi? kwa kuwa tangu muda limekuwa linatumika kuchezea hivyo kwa ukafiri wako ukajua halina mwenyewe? Nadhani ungefanya utafiti kule ardhi (kinondoni au wizarani) ndo uwe na uhalali wa kusema hayo. My WEB-sadaka 50 siyo jukumu lako waislam siyo kama wakatoliki wanaoitegemea Roma na Serikali kwa ruzuku -Waislam wanajua kujetemea japo kwa chao kidogo-hawana mabwana wa kuwagawia pesa za dhuluma. Inaelekea ukiona waislam wanajenga hata hiyo madrasa unayoiita ya makuti unaumia saaaana, basi jua kwa sasa utaumia zaidi

jengeni ili mabwege muendelee kuwa wengi,wanenu wakariri juzuu,wetu wanaenda tuisheni! Kisha baada yamiaka 15 mlalamike eti watumishi serikali wengi ni wakristo,mbwa nyie mnadhani mtapewa uwaziri kwa elimu yajuzuu?
 
Ujue sisi tunafadhiliwa na nchi za magharibi sana ambao tunawasaidia kutekeleza sera zao za kifirauni kama ushoga,dhulma mbalimbali,sema hatujui kuwa sisi tuko mbele na hawatukamati kwa sasa hela zetu zote zimetokana na primitive accumulation of capital ndio mana sisi tunejenga masonic building.kuwa msomi sio kuwa na degree za juu.Eti tumeendele lakini tunadanganywa eti 3=1 na 1=3.akili au matope.tumeendelea kweli nimadoctor na maprofesa.kitendawili!

Ushoga hata sisi tunao Mabasha na Wa++nge. Tuwaache wazungu na sera zao. Sisi tujiulize wenye majina haya yaliyoko katika Lugha zetu yametoka wapi? Hasa sehemu za Mwambao wa Pwani ya Afrika Mashariki. Kila siku ukipita vijiweni na kwenye vituo vya Daladala neno au jina M+++nge halikauki midomoni mwa Vijana, kina baba,mama na Wazee.
 
Back
Top Bottom