Wewe Bujibuji ni hatari sana, watoto hutumia majina ya baba zao ili kuonyesha wao ndiyo walitoa hiyo sperm, kwa mama hiyo inaeleweka kwani alibemba mimba hiyo. Huo ndiyo utamaduni ili mwanaume apate heshima.
Kama huna hakika wewe ndiye baba wa mtoto basi atumie jina la mama
Bila shaka uko under probation sema ya miezi 6, wakati wa usaili mwajili wako hukumwambia ukweli kama una mimba, kumbuka wakati huu mwajili wako anakupima kama unafahamu kazi yako vizuri na tabia yako ni nzuri. Kwa kitendo chako cha kusema una mimba inaonyesha kabisa wewe ni mtu ambaye siyo wa...
Sheria ya kazi iko wazi sana, bila shaka utakuwa under probation my be 6month, katika muda huo mwajili wako anakuangalia utendaji wako wa kazi na tabia, kwa kutomwambia una mimba wakati wa usaili wako na kuweza kufikiri wewe si mkweli wa tabia.
Katika Labour law kunakitu kinaitwa unfair...
Unafahamu ZADOCK alikuwa na bomba linatoa maji mengi sasa hilo bomba limefungwa na mwenye funguo hataki maji yake yapotee bure. Bongo investments Dar village. mlimani city bado ni bomba
Wasalaam wana JamiiForums, Mimi naitwa Kanyika ninafuraha kubwa kujumuika nayi katika kuliendeleza hili libeneke. Nitajifunza kutoka kwenu nanyi mtapata chochote kutoka kwangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.