Huna ugonjwa wowote ni hofu tu imekujaa wakati wa kulifanya hilo tendo, suala lako ni la kisaikolojia zaidi hivyo yakupasa kwanza jenga uhusiano wa urafiki ili umzoee huyo mwanamke wako itakusaidia kujiamini na kuondoa hofu na kukupa majibu chanya..fanya hivyo mdogo wangu.!
Nimetumbukia humo na kwa sasa napambana kutoka...sema pombe nimefanikiwa kuacha naweza sema Ivo kwani Nina miezi 7 sijagusa pombe yoyote ile..tatizo fegi aisee kwa siku nilikuwa navuta sigara nusu pakti ila kwa sasa nimepunguza kwa siku navuta 2-3 natamani kuacha ila kiu ya sigara jamani...
Sema wakuu ITV inakupa coverage ya kutosha kwa taarifa ya habari ya saa 2 usiku, yaani Wana habari nyingi za kitaifa...Japo UTV wao habari zao Ni chache za muhimu na wanazichambua kwa kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.