scatter boy
Member
- Mar 31, 2021
- 68
- 22
Kweli mimi ni kijana nina umri wa miaka 22, sasa na sijawahi fanya mapenzi mpaka umri huu.
Nilikuwa najihusisha na masuala ya kupiga punyeto, nimekuta humu wanaiita CHAPUTA. Nilianza kupiga punyeto nikwa form two 2016 na rasmi niliacha baada ya kuona madhara 2019 mwezi wa nne. Nilijua naishiwa nguvu baada ya kupata mtoto wa kike alikuja mageto cha ajabu muda wa kufanya mapenzi nilimvua kila ktu lakina uume wangu haukusimama kabisa hata kidogo nikaishia kuangalia tu.
Ilibidi nidanganye kuwa nimepigiwa simu kuna hela nimeambiwa niipeleke natakiwa nipeleke kwahiyo siku nyingine kama hatojali.
Nilikosa furaha sana mpaka apo nikaanza kutafuta dawa kweli nimekunywa dawa na dawa. Nilipata mtoto wa kike wa pili kwajili ya test ya dawa nilizotumia naye hivyo hivyo nilimvua uume haukusimama tukakaa geto kama kawaida nikadanganya ila huyu alivyotoka uume ulisimama kwa nguvu napo sikufanya chochote sababu alikua ameshaondoka ..naitaji msaada kama dawa nimetumia sana hizi za kienyeji na hata pia korodani zangu zinauma sana na pia kuna kipindi nilikua napata kama hamu ya kukojoa nikikojoa nakojoa manii au maji maji meupe please msaada jamani naumia sana....naomba msaada ata ushauri please ahsante
Nilikuwa najihusisha na masuala ya kupiga punyeto, nimekuta humu wanaiita CHAPUTA. Nilianza kupiga punyeto nikwa form two 2016 na rasmi niliacha baada ya kuona madhara 2019 mwezi wa nne. Nilijua naishiwa nguvu baada ya kupata mtoto wa kike alikuja mageto cha ajabu muda wa kufanya mapenzi nilimvua kila ktu lakina uume wangu haukusimama kabisa hata kidogo nikaishia kuangalia tu.
Ilibidi nidanganye kuwa nimepigiwa simu kuna hela nimeambiwa niipeleke natakiwa nipeleke kwahiyo siku nyingine kama hatojali.
Nilikosa furaha sana mpaka apo nikaanza kutafuta dawa kweli nimekunywa dawa na dawa. Nilipata mtoto wa kike wa pili kwajili ya test ya dawa nilizotumia naye hivyo hivyo nilimvua uume haukusimama tukakaa geto kama kawaida nikadanganya ila huyu alivyotoka uume ulisimama kwa nguvu napo sikufanya chochote sababu alikua ameshaondoka ..naitaji msaada kama dawa nimetumia sana hizi za kienyeji na hata pia korodani zangu zinauma sana na pia kuna kipindi nilikua napata kama hamu ya kukojoa nikikojoa nakojoa manii au maji maji meupe please msaada jamani naumia sana....naomba msaada ata ushauri please ahsante