Dr mkapa ni mtu makin sana hawezi kuwa na myopia vision kama weewe.mwandishi wa thread hii muongo ,maana ametoa mfano wa amosi makala kupitishwa kwa nguvu, makala amekuwa mbunge mwaka 2010 wakati mkapa ame retire 2005 ! Wapi na wspi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.