Recent content by Kanolo

  1. Kanolo

    Lowassa, Sumaye wametumwa, Mbowe ni adui wa mabadiliko

    Mie sijaelewa unazungumzia nini? Mmeanza kuisoma namba ndani ya nyumba yenu? napita tu ndugu
  2. Kanolo

    Gesi Mtwara: Bibi wa Msimbati, nimeamini maneno yako

    HAPA GIZA TUUUUUU:painkiller:
  3. Kanolo

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    Uaminifukazi ongea vizuri na NJAA yako; kwa faida yako tu UK wa 22-23 wa Katiba inayopendekezwa Oktoba, 2014 na nukuu " Kanuni za uongozi wa umma 29-(1) Kiongozi wa umma, akiwa katika kazi za ofisi au kazi binafsi au wakati amejumuika na watu wengine, atahakikisha kwamba mwenendo wake: (a)...
  4. Kanolo

    Zanzibar kwatifuka kura ya maoni Katiba mpya kutoridhiwa - Kikwete amekiuka sheria

    Acha kubishana na wachumia tumbo, unajua mtu akikosa dira anatafuta pakufia wameshakufa hao bado kuzikwa tu Oktoba 2015 ....................:rockon::rockon:
  5. Kanolo

    UKAWA umeua CUF na NCCR, unanufaisha CHADEMA

    Na kwa mama yako msh....nzi wewe mchumia tumbo kerubu
  6. Kanolo

    Mkutano wa CHADEMA Kuwashukuru watu wa Mbeya

    Baba yako ndiyo muhuni....shexxxxzi sana wewe
  7. Kanolo

    CHADEMA wanaua vipaji vya siasa kwa Vijana, Yu-wapi James Ole Milya na Bananga

    Wakijita: unajua CCM wanajua kuwatumia hawa watu nadhani unamfahamu vizuri tu MM naibu Wizara ya fedha amekwisha mtafuna huyu sasa anatafuta kiki ya kuonyesha nae yupo
  8. Kanolo

    Wana Iringa mjini, Njooni tujadili maendeleo ya Jimbo letu

    Kamuondoe kwanza Samwel Sitta anamiaka zaidi ya 30 jimbo lake lipo taabani hakuna maendeleo yoyote ukimaliza hapo nenda kwa Kapuya alafu malizia kwa Nkumba ndiyo urudi hapa kutuaminisha ushenzi wako
  9. Kanolo

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    Kaka usijisumbue hakuna gamba lolote lile ambalo litajitokeza na kukupatia matokeo ya Mtwara-Mikindani, kipigo kinauma tena kama mtu kampiga mkeo mbele yako
  10. Kanolo

    CCM Arumeru Mashariki tujipange vema, bundi yupo mtini

    Tehe tehe CDM ife? hawa wazee wa 7,000 wanamdanganya sana Professeri wa kichina na yeye hajiulizi, 2015 tutaheshimiana tu
  11. Kanolo

    Werema, Maswi, Mboma wapumulia mashine

    Hivi wale waliokuwa wanamshambulia Mh Kafulila kuwa ni muongo na kudiliki kumuita TUMBILI na kudai kuwa fedha sio za umma wapo wapi? au njaa imewabana wamerudi mtaa wa Lumumba kwenda kudai posho ya kazi waliokuwa wanaifanya kama ya jiwe mtoni kuzuia maji wakati haiwezekani.....:msela:
  12. Kanolo

    Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo

    Weka ushahidi unaojitosheleza kuonyesha ukweli wa ulichokiandika kwakuwa hicho kipindi mimi nimekiangalia ongea vizuri na njaa yako...:msela:
  13. Kanolo

    Mkakati wa CHADEMA wa kuvihujumu vyama washirika wa UKAWA huu hapa

    Huna lolote lile la maana;ni mkakati wa magamba kudhoofisha UKAWA tumewazoea nadhani umepewa kazi toka mtaaa wa Lumumba na bahashishi uliopewa ni wali au t-shirt bila viatu na suruali...:msela:umoja huu unawatisha sana naona mwaka huu mmeamua kuushambulia UKAWA baada ya kuishiwa maneno kwa chama...
  14. Kanolo

    Operesheni za CHADEMA na Kauli za Mhe. Mbowe zinazowadhalilisha wabunge wa UKAWA

    Umetumwa? Mbona ya CCM huyasemi kuna:- 1. MKUKUTA 2. MKUZA 3. MKURABITA 4. KILIMO KWANZA 5. BRN Hakuna hata moja lililofanikiwa shame upon you
Back
Top Bottom