Recent content by kankamusa

  1. K

    Je penalty ya jana RM vs Juve ilikuwa sahihi?

    alimpush kgd ili am distrib apate nafasi ya kuokoa....penalty sahihi kabisa
  2. K

    Buffon: “Referee can’t have the cynicism to destroy the effort of a whole team

    kwa primer league sy penalty lkn kwa champions league ni penalt yk sahihi mwamuzi
  3. K

    Je, ni kwanini wenye magari hung'ang'ania kuvuka kwenye kivuko badala ya kutumia daraja la Nyerere?

    kuna wengine wanakaa mbali na upande wa daraja hata akishavuka so short cut kwake ni daraja bt nashangaa kwani hali bd ni.mbaya ya foleni licha ya kivuko cha tatu kuongezeka ntauliza wadau tujue km vyote vinafanya kazi isije kuwa keep moja kibovu!!!
  4. K

    Waraka kutoka Iringa: Sababu za Tundu Lissu kumshambulia Rais Magufuli hizi hapa...

    na kuna thread niliisoma konoike wanadai sijui nini......nchi hiiii kwa.hasara ya stahili hz tumepigwa sana inanikumbusha sakata la dowans nadhani tunalipa bt ndo mana wengine tishajichikea na ccm...kitamboooo kwa sabubu mwishi wa siku ukichunguza sakata ni watu wao ndio sio waaminifu thus watu...
  5. K

    Waraka kutoka Iringa: Sababu za Tundu Lissu kumshambulia Rais Magufuli hizi hapa...

    mimi naungana na mtoa waraka shida ni wasemaji wa serikali kazi yao wanaijua kweli. ...
  6. K

    Dar Ndio Imekuwa hatari hivi?

    kuna kipindi walicha baada ya wengine kufa kufa kuwawawa akina marehemu kamchoche sijui kama madongo yuko hai....
  7. K

    Dar Ndio Imekuwa hatari hivi?

    duuuu watoto wa keko hao...kituo kidg cha keko au chang'ombe wanauwezo wa kujua....kwani huwa wanajua nani ws kumfinya atasema tuuuu
  8. K

    Waandishi wa Habari mnaoenda katika Press Conferences za Cyprian Musiba sidhani kama mko sawa

    muda si mrefu hawa waandishi wa mtaaani blogers ambao wengi ni non professionals watakuwa ban na tcra
  9. K

    Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada kutua nchini wakati wowote

    hivi kwa nn gharama za usafiri wa ndege hapa kwetu ziko juu licha an ya serikali kuongeza ndege....nn sababu....
  10. K

    I was drugged before deportation to Dubai, Miguna claims

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe miguna ni play boy wa politics so kinachomkuta sasa ni kupinga kukutana na raila na uhuru thus thanx kwa historic back ground yake
  11. K

    Baba yake Diamond: Mwanangu ananisikitisha sana, nilishawahi kuhisi sina mtoto

    hilo fundisho kwa ss wengine huna uwezo beba hata machungwa ya buku pita ukweni kamsalimie mtt hata km kuna dharau unafanyiwa bt mtt atajua tuu mm daddy yupo hata km watamjaza sumu mwisho wa siku uwongo hujitenga na ukweli bt naamini kabisa kwa mama zeru wa.uswazi ukimpa book tano mbili hawanaga...
  12. K

    Hivi Dunia imeshindwa kugundua kipimo cha Tezi dume?

    kipimo kipo tatizo kuchelewa drs wanasema kuwa ukikaribia au kufikisha miaka hamsini hv kila mwaka pima mara moja ni cha kisasa zaidi sy zile story z vijiweni kupimwa kwa kuingizwa vidole matakoni hilo halipo nenda muhimmbili na ukipenda hata baada ya kufikisha miaka 40 jenga mazoeya ya kupima...
  13. K

    Why Kenyan media changed the tone for TZ from pulling back the EA to negativivity on Magufuli's gainings?

    mkulu hapo yk sahiii sanaa tuu ila mradibwa stigler gorge kazi ipo so expensive. ....
  14. K

    Kuelekea World Cup nchini Russia June 2018 hizi ndizo zawadi za washindi na washiriki.

    hv champions ligi bingwa anachukua dola au pound ngapi
Back
Top Bottom