Recent content by kanjibai

  1. kanjibai

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Ilikua kwenye bus la muro natokea moro city ya nyuma yaani utamuuuu
  2. kanjibai

    Mfahamu vyema mnyama Rhino (Faru)

    Asante sanaaa
  3. kanjibai

    Nyoka wa ajabu

    Dah pole sana kaka iyo ni ishara mbaya sana kwako,unatakiwa ujitafakali mwenendo wako sio mzuri kuna mapepo au mashetani au unaroho ya uasi,maana yake shetani anakutumia kwa kukutamanisha ni iv ww ni nyoka ni mambo yako ya kishetan tena shetani kakuvaa sanaa na ananutumia kwa nguvu nyingi sana...
  4. kanjibai

    Kitwanga aponda ndege mpya za ATCL mwanzo mwisho

    Sasa kwani shida IPO wapi hapo mh,kitwanga kulipa keshi au mwendo kasi mbona ujaeleweka unataka tudaiwe ili tulipe na liba au? Bado sijaona tatizoo
  5. kanjibai

    Mahojiano na aliyenusurika katika shambulio lililoua askari wanne

    Dah poleni sana familia ya askari wetu waliopoteza maisha na polen sana jeshi la polisi mungu awape nguvu msikatishwe tamaa na matukio km aya hii ni bahati mbaya sana kwenu,ila cc wananchi tunawaamini na tupo pamoja ktk kufichua wale wote wasiotakia mema taifa letu
  6. kanjibai

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Ndio kiongozi Nora mkweli na mwenye dhamira
  7. kanjibai

    Mrema atoa siku saba kwa Paul Makonda kujieleza

    Mrema anajua kazi yake msimbeze anachokifanya ni sehemu ya majukumu yake
  8. kanjibai

    Mochwari ya Muhimbili wanamjaribu Rais Magufuli?

    Unatoa rushwa alafu unaomba lisiti
  9. kanjibai

    Mochwari ya Muhimbili wanamjaribu Rais Magufuli?

    Iyo ni rushwa ww uliyotoa na uyo aliyepokea wote mmetena kosa
  10. kanjibai

    Nawatakia jumapili njema

    Na kwako pia
  11. kanjibai

    Mwigulu: Rais Magufuli hatavaa sare za chama cha CCM

    Sasa alipo ulizwa ulitaka asijibu
  12. kanjibai

    Rais Magufuli: Mimi sijaribiwi, wasije kunijaribu. Atakayeleta vurugu atashughulikiwa bila huruma!

    Mda wa kazi nafasi ya kufanya siasa za uchochezi ushapitwa na wakati,tumewapa majimbo mtuambie mshafanya nn na mnataka kufanya nn sio wkt wa opereshen waacheni wtz masikini wafanye kazi msiwadae kwa matamko yasio na maana,bungeni mmekimbia xx sijui mnataka nn
  13. kanjibai

    Hizi ndio sababu ya viongozi wa CCM kukimbia Dar es salaam kwenda Dodoma

    Kwa tafsiri yako unatuambia kwamba raisi wetu wa nchi hii amemkimbia meya au amekimbia mji kwa sababu tu kuna wapinzani aaaah usinifuraishe kwa akili zako pia unafikili jiji kuchukuliwa na upinzani ni sawa kuchuliwa na maraika dah tunaitaji kufikili zaidi ok endelea kuota uku upo macho
  14. kanjibai

    Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

    Udikteta wa kuwatumbua majizi na wahujumu uchumi leo mnauita udikteta kweli tunaiona rangi halisi ya upinzani tz yaani leo magufuli dikteta kwa aya anayoyafanya tunaitaji kufikili zaidi ya hapa, go go magufuli umewashika mahala pake
  15. kanjibai

    Tangazo muhimu kwa kila Mwanachadema na Watanzania wote

    Mikutano iyo inafaida gn kwetu cc wananchi km kula tumewapa kwenye majimbo mnayoyaongoza tunasubili mtuambie nn mmefanya mpaka xx, bungeni mmekimbia xx sijui mnataka kutuambia nn naona vurugu tu zinawasumbua
Back
Top Bottom