shaks001
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 1,246
- 1,070
Hivi hii kuonyesha video sura ya mtu aliyeshuhudia tukio au kupambana na majambazi haiwezi kuhatarisha usalama wa muhusika?Maana ninavyoamini ni kwamba wahalifu wengine tunaishi nao mitaani,sasa kwa hali hii si anaweza akafuatiliwa na "mtandao"wa uhalifu wakiamini kwamba wameonwa na taarifa zao zikapatikana?
Mimi siku nikipambana na majambazi nikafanikiwa kuwanyang'anya silaha na kuwakamata,sitaki mje na mikamera yenu kunimulika.Sipendi unaa!
Mimi siku nikipambana na majambazi nikafanikiwa kuwanyang'anya silaha na kuwakamata,sitaki mje na mikamera yenu kunimulika.Sipendi unaa!