Unaonekana kujifanya "much know"wakati huna lolote..manake hapo umenipa mchapio mwingine tena "is not this logic"...CORRECTION,is this not logic au kama unakumbuka na question tag utauliza isn't this logic..SAWA SAWA?
Teh teh..ati logic.acha ubabaishaji.iyo mambo ya code mixing watu wanafanya ila kwa staili yako unapoteza maana ya sentesi..learning is a never ending process chukukua iyo weka kwenye kumbukumbu zako.kujifanya mjuaji haitakusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.