Ukiona mkaa mjini ujue miti mingi imeteketezwa. Ukiona minong'ono imezidi ujue kuna jambo halijakaa vizuri na usipokuwa tayari kuziba ufa andaa bajeti ya kujenga ukuta. Missenyi ina shida nyingi na Bakari ana shida nyingi. Fahari wawili huwa hawakai zizi moja. Wakikaa huenda nyasi zikaumia au...
Watumishi wangapi wamepita ambayo siyo wakina Kaizirege na wakapokelewa vizuri na wakafanya mambo mazuri ambayo hadi Leo yanakumbukwa. Siyo huyo Mwacha ndumilakuwili
Historia ya Cde Bakari inaendelea kumtafuna kwa alikotoka na ambako yupo. Alipokuwa kwenye sekretarieti kama katibu wa vijana Simanjiro alikuwa kikwazo sasa kwa wilaya ya Missenyi ndio kawa kikwazo kabisa kama bosi wa chama. Ndugu Katibu Mkuu najua utakuja Missenyi ila naomba kabla hujafika...
Ni lini wapinzani tutakuwa mbadala wa chama tawala kama sisi wenyewe tunaendelea kujitafuna. Jana tumeona majimbo mengi CCM wakipita bila kupingwa kutokana na makosa tunayoyafanya wenyewe na kuwapa nafasi hawa wakoloni weusi kuzidi kututawala.
Dada yangu Jeska wewe siyo mtu wa kufanya makosa...
Ni nani huyu??
Mbona mgeni??
Kwa nini aanzishiwe uzi kabisa JF kwa ishu zake binafsi??
Ngoja na mimi nianzishe uzi nimenunua li bata mzinga kuubwa kwa ajili ya kuchinja Krismasi ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.