Recent content by Kanakansungu manenge

  1. Kanakansungu manenge

    Warembo wa TBC

    Kawaida sana
  2. Kanakansungu manenge

    Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

    Unatakiwa kutumia maji sana ikisimama maumivu yapo sana ukikojoa yanapungua
  3. Kanakansungu manenge

    Chedema bado imara msibabaishwe na akina hamahama

    Upinzani upo ndugu kwa watu.ilivyoaribiwa Nccr ya Mrema. Vipande vipande hivyo ndo vikaizaa CDM.
  4. Kanakansungu manenge

    Chedema bado imara msibabaishwe na akina hamahama

    Mchezo bila rafu wala chenga ulishasikia wapi mpiga kura wa chadema amehama.
  5. Kanakansungu manenge

    Umri gani ni sahihi kumtahiri mtoto wa kiume?

    Wakwangu amepona kidonda sasa ana 8yrs ila hospitali wapo vizuri. Kwenye corona nimemsimamia hakusumbuka ila govi lilikuwa tayari na uchafu mwingi UTI Zimemsumbua sana
  6. Kanakansungu manenge

    NMB, rushwa ya Mikopo itakomeshwa lini?

    Hakuna rushwa wapo vizuri kama unavigezo
  7. Kanakansungu manenge

    Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

    Si kila mkosoaji ni chadema ukiandika pumba zitapuuzwa hii ni Jf sio vikao vya kijani
  8. Kanakansungu manenge

    Kiongozi anapohamasisha ongezeko la bei ya vyakula, anaelewa Madhara yake?

    Wanaolima ni wa vijijini mashambani wa mjini hununua na kutumia toka shamba Ebu twambia Nani Mnunuzi anayetwangwa hapo kama sio wakazi wa mjini hata kuuza nje ya nchi mkulima hauzi nje.anayeangalia bei ni mfanyabiashara sio mkulima
Back
Top Bottom